waOLDmoshi
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 879
- 1,753
Kwenye iyo movie "The hate u give, Little Infants F's Everyone " =THUG LIFEKadada kapi mkuu?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye iyo movie "The hate u give, Little Infants F's Everyone " =THUG LIFEKadada kapi mkuu?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Kukubali kuumia kimyakimya ndo kutojipenda huko! Am trying my level Best thats why naandik hapa.
Uko mbali sana na Mungu ndio sababu uko katika hali hiyo kwa miaka miwili, Ibada ya kila siku haiwezi kukuacha uwe mtumwa was mapenzi hata Sikh moja.
Nakuelewa and itsnot like Am not dating.There is something called memories bro, that's what pain you the most and it hurt you now when you are lonely while you used to be with her at sometime somewhere....its 6 years now am trying to move on but it's not possible cha msingi bro wew tafuta dogo mkali kumshinda yeye na akuoneshe upendo huyo ex atasahaulika tu.. Mimi napataga Vitoto vinajua caring mpaka namsahau but then wakiondoka narudi in the darkest side of my past
Sent using Jamii Forums mobile app
You hurt yourself broo you know what don't thnk to much kama ushawai fiwa na mtu wa karibu naisi unayajua maumivu yake ila yanasahulika ila kuyasahau inaanza akilini mwako, muuwe akili mwako ona kama ameshakufa yani yeye anapata raha ww unaumia aise aya bana
Kujiuwa kunaanzaga taratibu kama ivi mwishowe unaamua kujitundika.
Toka nje na ufurahie maisha yako ila usijaribu tena kuwa na mtu mmoja utakufa mapema
Sent using Jamii Forums mobile app
No formula Chief, nafurahii umefafanua vyema.Kuna watu wana stack in the past wakati wenzao wana move on. Lakini kuna exception ktk haya mambo: namfahamu mtu mmoja alikuwa na girlfriend wake na walipebdana saana. Lakini yule mdada akaja olewa na mtu mwingine na jamaa pia akaoa. Wote wakapata watoto ktk hizo ndoa zao. Baada ya miaka fulani wakakubaliana waachane na wenza wao wakaone wao tena, na kweli yule mwanamke akaachana na mume wake na yule jamaa akmuacha mkewe wakaenda oana na wanaishi mpaka sasa.
Haya mambo hayana formula moja.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
You cant Hurt some one kwa sababu kama hizo, LOVE is a commitment thing.Kilichonifanya nikasoma hadi mwisho ni kingereza.
Ila kingereza kina raha yake jamani.
Ndiyo maana Mimi mtu akinitongoza kingereza huwa sikatai namkubalia hata kama nina mtubaadae nitajua cha kufanya.
Joking apart!!
Kwani nini kilitokea? Bado unampenda mwambie!
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Ha hah
Nani kakwambia nipo mbali na Mungu.?
Sijui nikueleze nini hapa ila She is in my VEINS and I cant help it.
Sababu zipi?You cant Hurt some one kwa sababu kama hizo, LOVE is a commitment thing.
NAMPENDA, She knows.
Ahaa, sijaiangalia mkuu.Kwenye iyo movie "The hate u give, Little Infants F's Everyone " =THUG LIFE
Sent using Jamii Forums mobile app
Wow.Sababu zipi?
And if unampenda, then get back to her
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.





All things are difficult before they are easy.. Don't give up!!!Wow.
That isnt that simple I would have done it already.
Ha hahJust die and we will take care of her on your behalf. While you’re here crying and all that, she is somewhere getting some creampie hardcore sex. So get off your moms breasts your bottles are in the refrigerator.![]()
All things are difficult before they are easy.. Don't give up!!!
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Kuna watu wana stack in the past wakati wenzao wana move on. Lakini kuna exception ktk haya mambo: namfahamu mtu mmoja alikuwa na girlfriend wake na walipebdana saana. Lakini yule mdada akaja olewa na mtu mwingine na jamaa pia akaoa. Wote wakapata watoto ktk hizo ndoa zao. Baada ya miaka fulani wakakubaliana waachane na wenza wao wakaone wao tena, na kweli yule mwanamke akaachana na mume wake na yule jamaa akmuacha mkewe wakaenda oana na wanaishi mpaka sasa.
Haya mambo hayana formula moja.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo