Habareee!
Jamaa yangu amekuwa na msiba mzito sana maishani mwake
Truly ameniomba ushauri juu ya tatizo lake kuwa hajawahi kumwaga manii au mbegu au shahawa toka aanze kufanya mapenzi na mabinti,kwa sasa anadai amefanya mapenzi na mabinti 6 ili kujaribu kuling'amua tatizo lakin hali ni ileile
NILICHOMSHAURI
Aache mchezo wa masterbeshen na amekiri kuwa anafanya mchezo huo
Wanajf jaribuni kunipa majibu zaid ili nimwokoe ndugu yangu huyu
Actually ana miaka 26
ahsante mexence melo kwa kuanzisha jf
sijaelewa vizur
yani akienda kwa demu hamwagi, lakini akipiga puli anamwaga au?
wapiga puli hawana tatizo la kumwaga..wenyewe wanamwaga haraka haraka..
ahsante mexence melo kwa kuanzisha jf
Ndio hivyo ndugu
sijaelewa vizur
yani akienda kwa demu hamwagi, lakini akipiga puli anamwaga au?
Hahahaaaaaaaaaa yan nmecheka sana leo kwa hii koment yakoo inaonyesha umefikir mbali sana mkuu
usiseme rafiki yako sema ww mwenyewe
Ahsante Kilaza wa jf