flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,343
Kuna wakati inatubidi ushabiki mandazi tuuweke pembeni naukweli usemwe......Lissu anazingua nawanaosema hana uwezo wakuiongoza hii nchi naona wapo sawa haiwezekani nchi huru kama hii uiringanishe nakampuni yauwakili...Inachekesha sana kwa kweli. Barua inaonyesha huyo Amsterdam ni wakili tu mwanzilishi wa kampuni ya uwakili ya Amsterdam & Partners LLP amesaini Kama Robert R. Amsterdam, ambaye anamuwakilisha LISSU.
Sioni tofauti na barua ambayo ingeandikwa na kampuni ya mawakili ya Fatma Karume.
AJABU eti anamtishia JPM na mwanasheria mkuu wasimkate LISSU, maana yake ni kwamba LISSU ameshaona violations alizofanya ndio maana anaanza kutishiatishia..
LISSU ni wa AJABU sana anapenda malumbano ya kisheria wakati amekuwa akipoteza Mara kadhaa..
Mfano nzuri ni kupoteza Ubunge..
Aliambiwa arasimishe taarifa ya ugonjwa wake oficini kwake, akagoma, akadai hawezi kufukuzwa, Baadae akafukuzwa,
Akaenda mahakamani kwa mbwembwe na kuaminisha watu eti angeshinda akatupwa nje kwa technical knock out...
Leo hii kwa kiburi kabisa amefanya kampeni karibu nchi mzima kwa kisingizio Cha kutafuta wazamini kinyume na Sheria.. sasa amegundua amechemka amejiri kampuni ya mawakili kuitisha tume, mahakama na serikali(JPM na Mwanasheria Mkuu)