Amri juu ninawapa mmpendane

Amri juu ninawapa mmpendane

Afadhali sasa ushajua. Epuka wine kabla hujaanzisha thread. Hasa zinazosisitiza upendo
Ni upendo unasababisha Mbowe kuwa Segerea na nikiavyo anaweza kuwa kule mpaka uchaguzi wa serikali za mitaa upite.
 
Ewaaa... ila kwenye kampeni uwe makini. Siku hizi kuna risasi zina upendo... zinalengwa kwa mwingine lakini zinakata kona zinakufuata popote ulipo zinakudedisha. Aliyefyatua risasi anapandishwa cheo na aliyedhamiriwa kucharazwa anawekwa rumande.

Ikiwa hivyo upendo huu tuuweke kando, tubakie na upendo wa "lete kama tulivyo" huku tukisindikizwa na sahani zilizosheheni protini ya kuchoma.

Baada ya kusema hayo napenda kukuuliza Eti kama hakuna kama mama, ni nani wa kumfananisha na baba?
Hii dunia imejaa vituko tushangae ya SA ya kufufuliwa wafu huku tushangae ya risasi kupinda kona kutafuta mlengwa ikaishia kutoa uhai innocent person. Tutaingizwa kwa Guinness Book muda si mrefu

Nitajizatiti na zile anazotishiaga Mheshimiwa wa Kigoma nitageuka bahari. 2020 akina Sangoma watatajirika hatari

Hakuna kama Mama, Baba wa kufananishwa na JIWE
 
Hii dunia imejaa vituko tushangae ya SA ya kufufuliwa wafu huku tushangae ya risasi kupinda kona kutafuta mlengwa ikaishia kutoa uhai innocent person. Tutaingizwa kwa Guinness Book muda si mrefu

Nitajizatiti na zile anazotishiaga Mheshimiwa wa Kigoma nitageuka bahari. 2020 akina Sangoma watatajirika hatari

Hakuna kama Mama, Baba wa kufananishwa na JIWE
Na polisi aliyefyatua risasi hana hatia lakini aliyekuwepo eneo la tukio yuko mahabusu. Yote ni katika upendo wa bwana.
 
Shukran mkuu lakini sikujua kuwa kuna survey ya warekebisha headings 😂

Hapana siyo survey kabisa na si kwa ubaya, napenda sana kusoma thread zako, na kuna wakati nikiona heading imechapiwa nahisi ni wewe kabla sijaangalia mwandishi.

Ni swala dogo tu la kujizoesha kupitia nini tuliachoandika kabla ya kutuma.

Yalishawahi kunikuta kwenye emails nimetuma kumbe simu ilifanya autocorrect ikaniwekea maneno ambayo siyo yangu, nilijuta.
 
Hapana siyo survey kabisa na si kwa ubaya, napenda sana kusoma thread zako, na kuna wakati nikiona heading imechapiwa nahisi ni wewe kabla sijaangalia mwandishi.

Ni swala dogo tu la kujizoesha kupitia nini tuliachoandika kabla ya kutuma.

Yalishawahi kunikuta kwenye emails nimetuma kumbe simu ilifanya autocorrect ikaniwekea maneno ambayo siyo yangu, nilijuta.
🙏🏾
 
Hii dunia imejaa vituko tushangae ya SA ya kufufuliwa wafu huku tushangae ya risasi kupinda kona kutafuta mlengwa ikaishia kutoa uhai innocent person. Tutaingizwa kwa Guinness Book muda si mrefu

Nitajizatiti na zile anazotishiaga Mheshimiwa wa Kigoma nitageuka bahari. 2020 akina Sangoma watatajirika hatari

Hakuna kama Mama, Baba wa kufananishwa na JIWE
Hivi kweli umeamua kumdhalilisha baba namna hii? Ukiendelea hivi hautafufuliwa siku ukidedi... Nimemua kumwachia Mungu

Ole wako usipotubu
 
Nimekudharau sana baada ya kusema mumeo umemfanya zezeta yaani bushoke..
Hii amri ukiisikia unaweza kuona ni ndogo lakini ni kubwa sana. Mpendane kama nilivyowapenda mimi. Inamaana tukipendana hatuta; ibiana, sema uongo, tamani wake na waume wa wengine, sengenyana, logana, oneana wivu nk.

Nilijaribu kupenda walionizunguka kama ninavyojipenda mimi. Ni ngumu lakini athari zake zinauma zaidi. Maumivu ya mtu uliempenda kama nafasi yako akijusengenya inauma kuliko kusengenywa na Tom and Harry.

Nisikiavyo huko mbinguni haya ndiyo maisha wanayoishi waliofanikiwa kupata mwaliko wa karamu. Ni upendo wa agape masaa 24 na kumtukuza Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I do appreciate mkuu we should love one another

We all love you humu JF, and we know that you love us all.

You are naturally gifted with that, and it is just how you carry yourself. I personally couldn't do it if I know you will overreact.
 
Amri mpya ninawapa "pendaneni kama ninawavyowapenda mimi"
mpende jirani yako kama unavyoipenda nafsi yako
na hii karne,tunajitahidi tu
bt kidunia self love is a selfish or not?? and minding ur own business? inakaaje hapa!
 
Hii amri ukiisikia unaweza kuona ni ndogo lakini ni kubwa sana. Mpendane kama nilivyowapenda mimi. Inamaana tukipendana hatuta; ibiana, sema uongo, tamani wake na waume wa wengine, sengenyana, logana, oneana wivu nk.

Nilijaribu kupenda walionizunguka kama ninavyojipenda mimi. Ni ngumu lakini athari zake zinauma zaidi. Maumivu ya mtu uliempenda kama nafasi yako akijusengenya inauma kuliko kusengenywa na Tom and Harry.

Nisikiavyo huko mbinguni haya ndiyo maisha wanayoishi waliofanikiwa kupata mwaliko wa karamu. Ni upendo wa agape masaa 24 na kumtukuza Mungu.
Amina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom