Syolosu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2019
- 865
- 1,016
Natamani sana serikali itoe ufafanuzi zaidi wa hii gas yamtwara kwakweliNasikia ile ya kwenye mitungi ya kupikia lazima itokane na mafuta ya petroleum, wataalamu wetu humu watatujuza
Walitoga ufafanuzi kuwa kitajengwa kiwanda cha kuchakata gas kuwekwa kwenye mitungi kimya
Wanachi waliopitiwa na bomba now kwa Mara ya pili wanafungua a/c wapewe fidia ..
Mradi ulikuja kwa ukubwa sana huu