aimi lyatuu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 761
- 839
Hii mbinu iliniokoa mwaka jana...mke wa jamaa ambaye tulipishana kwenye maswala ya pesa alimset mke wake waje kuniharibia (sikujua kabla ni mke wa mtu ) mpaka sasa najiona champion sababu ya hii mbinu!!Ya 9.mpoteze maboya kama amekuset udakwe unampa option ya kuchagua chimbo then siku ya tukio ukikutana nae unabadilisha eneo chapu unachukua simu unazima hafu unapotea nae