Hapo walikua washamchania nguo. Ndo huyo huyo, MiaHuyo yupo uchi ndio huyu anaepigwaa
Hapo walikua washamchania nguo. Ndo huyo huyo, Mia
Msamehe bure si umeona machungu yalompata MISS TANZANIA 2014, SITTI MTEMVU AJIVUA TAJI - Global PublishersHii picha imenihuzunisha sana. Hawa ndo walee Sitti Mtemvu and Co wanawatafutia kazi za uyaya huko na hayo ni manyanyaso wanayoyapata. Who cares? Wanaumizwa bure!! figganigga na Wapoti mnaweza nihakikishia vipi kwamba huyo alimtega bosi?
Hivi mia una uhakika na taarifa yako fuatilia hapa na pengine tunaweza kupata mwanga endelea.. Umugore yakubiswe izakabwana yambaye ubusa hafi no gushiramo umwuka, kubera ko yafashwe Asambanira imbere yâinzu yâibigirwamana-REBA AMAFOTO | www.bwiza.com
Ni huko kwa wenzetu. Naogopa kuitwa mbaguzi. MiaNi wapi huko hapa bongo au??
Ningekua dume nisingempiga bali ningemsitiri na kumwacha aendeee
Mkuu kuikuta kwenye mtandao wa Rwanda haimanishi ndo ukweli. Waulize kwanza waloweka hiyo picha kwanini hawajaweka chanzo. Hiyo ya kusema wamekuta wanafanya mapenzi, je alikua anafanya peke yake? Watu wakikuta wanafanya mapenzi anayepigwa mara nyingi ni mwanaume sio mwanamke. Je una uhakika huyo anaye mpiga ni mumewe? ndo amvue nguo? MiaHivi mia una uhakika na taarifa yako fuatilia hapa na pengine tunaweza kupata mwanga endelea.. Umugore yakubiswe izakabwana yambaye ubusa hafi no gushiramo umwuka, kubera ko yafashwe Asambanira imbere y’inzu y’ibigirwamana-REBA AMAFOTO | www.bwiza.com
I wish one could translate please. Mie sijasema pekundu, wala nilikuwa silijui. Lakini wewe umewezaje kuleta stori na picha ambayo si yako ukatuaminisha?
Mkuu kuikuta kwenye mtandao wa Rwanda haimanishi ndo ukweli. Waulize kwanza waloweka hiyo picha kwanini hawajaweka chanzo. Hiyo ya kusema wamekuta wanafanya mapenzi, je alikua anafanya peke yake? Watu wakikuta wanafanya mapenzi anayepigwa mara nyingi ni mwanaume sio mwanamke. Je una uhakika huyo anaye mpiga ni mumewe? ndo amvue nguo? Mia
Pamoja na kuafiki siginacha yako msilolijua ni sawa na usiku wa giza hatari ninayoiona ni kulisha watu kitu ambacho huna uhakika nacho. Hii picha imetoka katika mitandao na ndugu yetu Mia anapingana na alipoitoa, je nani tumwamini? credibility!!!! (BOFYA)Ni wapi huko hapa bongo au??
Ningekua dume nisingempiga bali ningemsitiri na kumwacha aendeee
Hili ndo tatizo la kujifanya kujua. Hili ni jukwaa la picha kwanini unaniletea maneno maneo yako? Kama wajua kwanini hukuanzhisha thread? Usiniletee za kuleta Mwenye picha huyu hapa muulize. miaI wish one could translate please. Mie sijasema pekundu, wala nilikuwa silijui. Lakini wewe umewezaje kuleta stori na picha ambayo si yako ukatuaminisha?
Ukiona manyoya..... Mia pole ndugu yangu kwa +nyekundu
Hili ndo tatizo la kujifanya kujua. Hili ni jukwaa la picha kwanini unaniletea maneno maneo yako? Kama wajua kwanini hukuanzhisha thread? Usiniletee za kuleta Mwenye picha huyu hapa muulize. mia
Achana na mimi. MiaUkiona manyoya..... Mia pole ndugu yangu kwa +nyekundu
Natii mkuu kwa kujiridhisha kuwa 'msj sent'. Wakati mwingine kumbuka ukitaka kuandika kitu JF, lazima uwe na uhakika na 'source' na ukubali kukosolewa.
Achana na mimi. Mia
Kipi ulichokosoa? kuweka link ya rwanda ndo kukosoa? Unajua walichoandika au unaleta shobo? miaNatii mkuu kwa kujiridhisha kuwa 'msj sent'. Wakati mwingine kumbuka ukitaka kuandika kitu JF, lazima uwe na uhakika na 'source' na ukubali kukosolewa.