Heri kwenu wadau, nina imani mambo yanaenda vizuri.
Nakuleteeni habari njema kuwa my wife mpenzi amejifungua mtoto wa kiume, lakini amejifungua kwa operation! Nimeona ni jambo laheri kuwajulisheni ndugu jamaa na marafiki kuhusiana na hili ili kwa yeyote mwenye mapenzi mema anaweza kuongezea maombi yangu kwa Mungu amjaalie mke wangu mpenzi afya na nafuu mapema. Hapa ninapoandika sipo home, nipo Moro kwenye workshop flani, hata amani sina kabisa.
stop it hatutaki kumwona kumsikia tu inatosha na baraka zetu zitamfikia ila ukiweka picha utakuwa hujamtendea haki kama vp anzisha blog ndio umweke huko si hapa please please sihafiki hii mpk naingia kaburiniWakuu bado sijafika home. Ahadi ya picha bado ipo palepale. Nawapenda wote
Wakuu bado sijafika home. Ahadi ya picha bado ipo palepale. Nawapenda wote
umeongea point sana leo ungekuwa karibu ningekukandika jibusu ila huko huko uliko pokea MMMMMMWAAAAAAAAAAAAA....Amoeba ni mtizamo tu pls usiweke picha ya mtoto hapa ubaoni ...kama utawatumia kwenye PM zao au yahoo /outlook kwa wale ulio na contact zako hiyo itakuwa poa sana :flypig: