APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 6,041
- 11,882
Kwanini mkuu??Mi mwanaume akishavaa taka taka cheni tena silver na mi t-shirt yenye chata huwa nakimbia kabisa.
Kwanini mkuu??Mi mwanaume akishavaa taka taka cheni tena silver na mi t-shirt yenye chata huwa nakimbia kabisa.
mm namuombea huyo jamaa akamatwe naye anyongwe tuInasikitisha kuona maisha yakipotea kizembe kwa namna hii. Ikiwa taarifa hizi zitathibitishwa na vyombo vya uchunguzi, ni muhimu sheria ichukue mkondo wake na haki itendeke. Pole kwa familia, watoto na wote walioguswa na msiba huu. Tuache mamlaka husika zikamilishe uchunguzi ili ukweli wote ujulikane.
Kwanini mkuu??
DAAH lazima kuwa na tahadhari kubwa !!!!!!!!Single maza wa watu.kaona kusemwa sio kizuri.acha nitafute mtu nikae nae.kumbe kakaribisha mauti
Mkuu najua una maumivu makali lakini kumbuka kwamba adhabu ya kunyongwa au hatia ya mtuhumiwa huamuliwa na mahakama (japo tuna mahakama maagizo kutoka juu)baada ya mchakato wa haki kukamilika. Ni vyema kuepuka kutoa hukumu kabla ya uchunguzi na kesi kukamilika.mm namuombea huyo jamaa akamatwe naye anyongwe tu
Kwa hapa dar na kwa joto hili inaisha kwa kunywa maji ya kunywa tuLaki tatu tena mjini ni hela ndogo sana.
AISEE NIMEONA FB NIMEUMIA YAAN KILA TUKIAMKA KUNA MATENDO YA KUJIUA AMA KUUWANANimeitoa FB
============================================================================
R.I.P uyo mwanamke ndiye marehemu na huyo wapembeni ndiye alikua akiishi nae kama mume hivyo alichukua jukumu la kumuua mke wake mchana waleo akiwa shambani hivyo alipo fanya tukio alichukua simu ya marehemu na kutuma sms kwa watoto wake ambao wao walikua nyumbani "sms ikisema (BABA ENU MDOGO AKIJA MPATIENI LAKI TATU)
Hivyo jama alipofka nyumbani akawaambia watoto mmeona sms ya mama yenu watoto walisema ndiyo, kisha wakampatia hela huyo baba kiasi cha tsh 300,000/= uyo baba wa kambo akaondoka,
lkn muda ulizidi kwenda, Mama yao wakaona haludi nyumbani, wakapatwa na mashaka walichukua jukumu la kwenda kumtafuta shambani maeneo YALUGONGA na kukuta Uyo mama kauwawa kwa kunyongwa lkn huyo jamaa yeye alichukua boda na kuelekea BAHI akiwa tayari amechukua mizigo yake,
TUKIO ILI LIMETOKEA SAA NANE MCHANA LEO TAREHE 20~07~2026, MKOA WA DODOMA WILAYA YA BAHI,
mpaka sasa saa 20:39 mwili upo shambani wanasubiliwa polic
============================================================================
View attachment 3634206
Siri ya ndanialikuwa anachapiwa ?
Hahahaha 🤣 🤣Mi mwanaume akishavaa taka taka cheni tena silver na mi t-shirt yenye chata huwa nakimbia kabisa.
Dada apumzike kwa amani
Nauli ya kukimbia kwa akili yakeLaki3 jamani🥹🥹
Nimeitoa FB
============================================================================
R.I.P uyo mwanamke ndiye marehemu na huyo wapembeni ndiye alikua akiishi nae kama mume hivyo alichukua jukumu la kumuua mke wake mchana waleo akiwa shambani hivyo alipo fanya tukio alichukua simu ya marehemu na kutuma sms kwa watoto wake ambao wao walikua nyumbani "sms ikisema (BABA ENU MDOGO AKIJA MPATIENI LAKI TATU)
Hivyo jama alipofka nyumbani akawaambia watoto mmeona sms ya mama yenu watoto walisema ndiyo, kisha wakampatia hela huyo baba kiasi cha tsh 300,000/= uyo baba wa kambo akaondoka,
lkn muda ulizidi kwenda, Mama yao wakaona haludi nyumbani, wakapatwa na mashaka walichukua jukumu la kwenda kumtafuta shambani maeneo YALUGONGA na kukuta Uyo mama kauwawa kwa kunyongwa lkn huyo jamaa yeye alichukua boda na kuelekea BAHI akiwa tayari amechukua mizigo yake,
TUKIO ILI LIMETOKEA SAA NANE MCHANA LEO TAREHE 20~07~2026, MKOA WA DODOMA WILAYA YA BAHI,
mpaka sasa saa 20:39 mwili upo shambani wanasubiliwa polic
============================================================================
View attachment 3634206