Ammy Ninje ateuliwa kuwa mkurugenzi mpya wa Ufundi wa TFF

Jospina

JF-Expert Member
Apr 19, 2013
2,421
1,387
FB_IMG_1540201908314.jpg


AMMY NINJE ATHIBITISHWA KUWA MKURUGENZI WA UFUNDI TFF. KAMATI NDOGO ZAFANYIWA MABADILIKO

Kamati ya Utendaji iliyokutana Jumamosi Oktoba 20, 2018 Makao Makuu ya TFF, Ilala jijini Dar ilipitia masuala mbalimbali ikiwemo kumthibitisha Ninje na kimepitisha mabadiliko kwenye kamati za TFF

Nafasi ya Ninje ilikuwa ikikaimiwa na Oscar Mirambo atakayeendelea na jukumu lake la Afisa Maendeleo wa Soka la Vijana

Kamati ya Nidhamu; Kiomoni Kibamba(Mwenyekiti), Peter Hella(Makamu Mwenyekiti), Kassim Dau(Mjumbe), Handley Matwenga(Mjumbe) na Twaha Mtengera(Mjumbe)

Kamati ya Rufaa Maadili; Richard Mbaruku(Mwenyekiti), Thadeus Karua(Makamu Mwenyekiti), Mussa Zungu(Mjumbe), ASP Benedict Nyagabona(Mjumbe) na Lugano Hosea(Mjumbe)

Kamati ya Uchaguzi; Malangwe Ally(Mwenyekiti), Mohamed Mchengela(Makamu Mwenyekiti), Benjamini Karume(Mjumbe), Mohamed Gombati(Mjumbe) na Hamisi Zayumba(Mjumbe)

My Take:
Hivi out of 50M Tanzanians hakuna watu wa kushika hizi nafasi?? Kila siku tunazunguka ktk watu hao hao??
 
Achape Kazi Tupate Ushindi Popote
Paka Hata Awe Mweusi Anafaa Sana Kama Anakamata Panya
 
mkurugenzi wa ufundi nic cheo kikubwa sana kwa tasnia ya mpira tanzania ila badala ya nafasi kutangazwa wakashindanishwa watu wanateuana hapo ndio tunapokosea kumbuka huyu ndie boss wa walimu wote wa taifa, ndie mtu anayepanga programm zote za mpira wa miguu Tanzania
 
View attachment 906999

AMMY NINJE ATHIBITISHWA KUWA MKURUGENZI WA UFUNDI TFF. KAMATI NDOGO ZAFANYIWA MABADILIKO

Kamati ya Utendaji iliyokutana Jumamosi Oktoba 20, 2018 Makao Makuu ya TFF, Ilala jijini Dar ilipitia masuala mbalimbali ikiwemo kumthibitisha Ninje na kimepitisha mabadiliko kwenye kamati za TFF

Nafasi ya Ninje ilikuwa ikikaimiwa na Oscar Mirambo atakayeendelea na jukumu lake la Afisa Maendeleo wa Soka la Vijana

Kamati ya Nidhamu; Kiomoni Kibamba(Mwenyekiti), Peter Hella(Makamu Mwenyekiti), Kassim Dau(Mjumbe), Handley Matwenga(Mjumbe) na Twaha Mtengera(Mjumbe)

Kamati ya Rufaa Maadili; Richard Mbaruku(Mwenyekiti), Thadeus Karua(Makamu Mwenyekiti), Mussa Zungu(Mjumbe), ASP Benedict Nyagabona(Mjumbe) na Lugano Hosea(Mjumbe)

Kamati ya Uchaguzi; Malangwe Ally(Mwenyekiti), Mohamed Mchengela(Makamu Mwenyekiti), Benjamini Karume(Mjumbe), Mohamed Gombati(Mjumbe) na Hamisi Zayumba(Mjumbe)

My Take:
Hivi out of 50M Tanzanians hakuna watu wa kushika hizi nafasi?? Kila siku tunazunguka ktk watu hao hao??
dat why we r failure
 
Mzee wa 'Always next time'! Kina Salum Madadi na Sunday Kayuni walishaishiwa uwezo
 
Nafikiri Sasa tutumie mbinu nyingine kutafuta viongozi lakini sio

hatuwezi kuwa na watu ambao kila c siku wanna turudisha nyuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom