ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,053
- 49,737
- Thread starter
- #101
Ni hivi Mzee Huwa anasema wanawake wote ni Washenzi awe mama,Mke,dada sijui nani wote ni wapuuzi ishi nao Kwa tahadhari,kitu pekee wanachojali kwao ni Mali.sio kwa mke hata ndugu pia ,nilipataga mtihani mkubwa lilikuwa jaribu kubwa sana,mama yangu mzazi akanikataa akawa ananikimbiza kwa buraza,mke wa buraza akawa ananilinda sana hanisimangi,ila nikienda kwa maza kejeli mateso tatizo linakuwa kubwa zaidi,nikawa sina uelekeo wowote mademu wakawa wananipenda pamoja na tatizo langu mama akawa anawaambia huyu hamna kitu ,ila madem walikomaa wakataka kuolewa na mimi tu,walikatishwa tamaa wakaolewa pengine hata dingi alikimbia,mungu si athuman akaingilia kati serikali ikanitibu bule nikapona.nikawa naishia kuosha vyombo kwa br kabla ya hapo nilikuwa na miliki aset ya viwanja 4 ,nilichofanya nikauza kimoja .nikapata kianzio ,haija pita mwaka ni kapata kazi,kwa fb wao wenyewe wanashangaa wakati nilikuwa mtu kutengwa ndani,nilipata kazi kupitia fb kwani kitaaluma ni phamasia, sasaivi mama ananiona mtoto natamani kumunasa vibao.weken akiba ya aset kwa maisha yenu yaabadae kwani inafikia ukipata majalibu makubwa hata ndugu wanakukimbia.NB kupitia jalibu yangu nimejifunza me