Amiri Jeshi Mkuu Samia yuko Imara

Anna Nkya

Member
Oct 21, 2021
69
341
Kuna video inasambazwa ikionesha Rais na Amiri Jeshi Mkuu kuyumba kidogo.

Wengi wanaopost video hiyo wanatia chumvi ionekane kwamba Amiri Jeshi Mkuu ana shida ya kiafya.

Majibu kutoka Jeshini:

1. Hakuanguka. Kumbukeni pale ndio alikuwa anaingia kwenye shughuli na alionekana akiendelea na kazi zake kama kawaida.

2. Baada ya kazi ya pale Jeshini, Amiri Jeshi Mkuu alienda Ikulu ambako alikuwa na ugeni mkubwa kutoka benki ya Dunia.

FEPiYaIXoAIG6cT.jpg

Amiri Jeshi Mkuu yuko imara sana, MAMA YUKO KAZINI

ceb01646-22ed-476f-920d-25b3040a4e0b.jpg
 
Hiyo video ingepositiwa utawala wa awamu ya tano kuna mtu angekuwa mpaka mida hii katekwa na kupotezwa
 
Ndio ile video ameyumba, ila haimaanishi kwamba ana matatizo ya kiafya au hana.
 
Kuna video inasambazwa ikionesha Rais na Amiri Jeshi Mkuu kuyumba kidogo.

Wengi wanaopost video hiyo wanatia chumvi ionekane kwamba Amiri Jeshi Mkuu ana shida ya kiafya.

Majibu kutoka Jeshini:

1. Hakuanguka. Kumbukeni pale ndio alikuwa anaingia kwenye shughuli na alionekana akiendelea na kazi zake kama kawaida.

2. Baada ya kazi ya pale Jeshini, Amiri Jeshi Mkuu alienda Ikulu ambako alikuwa na ugeni mkubwa kutoka benki ya Dunia.

View attachment 2011922
Amiri Jeshi Mkuu yuko imara sana, MAMA YUKO KAZINI

View attachment 2011923
Gwanda la Jw sio mchezo linaheshima
 
Kuna video inasambazwa ikionesha Rais na Amiri Jeshi Mkuu kuyumba kidogo.

Wengi wanaopost video hiyo wanatia chumvi ionekane kwamba Amiri Jeshi Mkuu ana shida ya kiafya.

Majibu kutoka Jeshini:

1. Hakuanguka. Kumbukeni pale ndio alikuwa anaingia kwenye shughuli na alionekana akiendelea na kazi zake kama kawaida.

2. Baada ya kazi ya pale Jeshini, Amiri Jeshi Mkuu alienda Ikulu ambako alikuwa na ugeni mkubwa kutoka benki ya Dunia.

View attachment 2011922
Amiri Jeshi Mkuu yuko imara sana, MAMA YUKO KAZINI

View attachment 2011923
Naona mama yetu kipenzi anafundishwa kupiga saluti na mpambe wake,amependeza mama yetu
 
Back
Top Bottom