Anna Nkya
Member
- Oct 21, 2021
- 69
- 341
Kuna video inasambazwa ikionesha Rais na Amiri Jeshi Mkuu kuyumba kidogo.
Wengi wanaopost video hiyo wanatia chumvi ionekane kwamba Amiri Jeshi Mkuu ana shida ya kiafya.
Majibu kutoka Jeshini:
1. Hakuanguka. Kumbukeni pale ndio alikuwa anaingia kwenye shughuli na alionekana akiendelea na kazi zake kama kawaida.
2. Baada ya kazi ya pale Jeshini, Amiri Jeshi Mkuu alienda Ikulu ambako alikuwa na ugeni mkubwa kutoka benki ya Dunia.
Amiri Jeshi Mkuu yuko imara sana, MAMA YUKO KAZINI
Wengi wanaopost video hiyo wanatia chumvi ionekane kwamba Amiri Jeshi Mkuu ana shida ya kiafya.
Majibu kutoka Jeshini:
1. Hakuanguka. Kumbukeni pale ndio alikuwa anaingia kwenye shughuli na alionekana akiendelea na kazi zake kama kawaida.
2. Baada ya kazi ya pale Jeshini, Amiri Jeshi Mkuu alienda Ikulu ambako alikuwa na ugeni mkubwa kutoka benki ya Dunia.
Amiri Jeshi Mkuu yuko imara sana, MAMA YUKO KAZINI