Amini usiamini,kuna watu wanachelewa kukua.

Amini usiamini,kuna watu wanachelewa kukua.

ni kwa sababu hili kabila wanaamini mikosi akizaliwa mlemavu yeyote anauliwa kabla mkosi haujasambaa

Ooh thats very bad, yabidi iwepo kampeni ya kukomesha hiyo kitu kama ile ya kukomesha tohara kwa wanawake!
 
Back
Top Bottom