Halafu Nakuomba Acha Kunitajia Majina Ya MIZIMU Sijui Sweya Mara Nyamalango Ambapo Hata SIPAJUI. Mimi Nitajie PARIS, WASHINGTON, TEL AVIV, LONDON, BRUSSELS Na Labda Kidogo CAPE TOWN Ambako Ndiko Nacheza Nako Sasa Mwaka Wa 23 Huu. Aliyekuambia Kuwa Mimi Nimekaa au Nimeishi Huko Tanzania Kwenu Ni Nani? Watutsi TUNAISHI SANA NCHI ZA ULAYA Huku Na WAZUNGU Kwakuwa WANASEMA TUNA AKILI KAMA ZAO Hivyo Tukikaa AFRIKA Kwenu HukoTUTAKUWA TUNAPOTEZA Tu Muda. Karibu Sana Huku Majuu Mkuu. Sasa Najiandaa Kupanda Treni Ya Umeme Kutoka Hapa Kazini Kwangu Mji Wa Marseille Na Narudi Zangu Kulala Mji Wa Lyon.