amini amini nawaambia , tunahitaji raisi kama lowassa ..

amini amini nawaambia , tunahitaji raisi kama lowassa ..

wana jf,tukubal tukatae lowasa atashika dola tu,kwa upande mwingine me naona ni sawa tu...coz mnafikiri nani ataeweza shika kile kiti zaidi yak?lowasa anaweza akiwa waziri mkuu mnakumbuka juudi zake katika kukuza elimu.!!!!toka kaondoka nn kimefanyika na shule za kata!!

Jaman tuache siasa uchwara tuangalie kiongozi mwenye uwezo wa kutatua matatizo tulionayo wantanzania.....haya n yang tu......

Sent from my blackberry 9780 using jamiiforums

hakika.
 
Ben Saanane uko wapi? Kuna watu wanamsifia lowassa huku hujaona?

mkuu hakuna anaye msifia lowassa umeshindwa kuelew,kinachofnyka ni kuchambua utendaji wake alivhokuw wazir mkuu,wala lowassa ahitaji kusifiwa,hayo aliyo yafnya akiwa serikalini yanatosha tu kumpa sifa,haitaji kumpigia debe,sawa ngoja tusubir huyo ulimwiita,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom