Lowasa ni zaidi ya slaa mbowe na wengine wootee
You are completely delusional just like your name is!
Lowasa ni zaidi ya slaa mbowe na wengine wootee
na pale birmingham (UK) wakiwa na mwanae fred na kundi lao zima wakaunda kampuni hewa za EPA na richmond unaliongeleaje hilo?
arudishe kwanza mablion ye2, anapowaharasi wenzake kufanya kazi kwa mshahara mdogo huku yeye ametapeli rasilimali za watanzania maanaake nn? Arudshe kwanza mikwanja aliyochota serikalin kuptia kampun ya kitapeli richmond, tena ishia hapo nicjenikatapka.
Labda Rais wa Chama cha Wachangiaji Harambee Nchini Tanzania.. But Siyo President of The United Republic of Tanzania, never on Earth..
bila shaka unataka Nape Nnauye ahame nchi maana ana muogopa sana.
Siamini kwamba kuna Watanzania kama wewe mpaka leo hawaoni umuhimu wa kuongozwa na Viongozi waadilifu,Inasikitisha sana,Bado hujajifunza haya tunayoyapata chini ya Utawala wa JK?Lowassa na JK ni kama pande mbili za sarafu linapokuja suala la namna gani wanaweza kulishughulikia tatizo la ufisadi Nchini.Nyerere pamoja na madhaifu yake kama Rais wa Kwanza lakini katika ushauri wake kuhusu wa kuwakataa Lowassa na JK kuwa Marais wa hii Nchi alikuwa sahihi kabisa.Tulimpuuza Nyerere juu ya JK na leo tunajuta.Na wewe leo hii unaona kosa tulilolifanya kwa JK halitoshi tuliongeze lingine kwa kumchagua Lowassa?Really?
kwa kweli tunahitaji rais mtendaji hatuhitaji mtu wa kujitafutia huruma za wananchi (rais ndo anatakiwa awahurumie wananchi sio wananchi wamuhurumie rais). tunahitaji rdaisi atakayetusaidia kupata ugali wetu wa kila siku, tunahitaji rais atakye hakikisha watoto wetu wanasoma. lowassa kwa muda mfupi aliokaa kma PM katujengea shule za kata pia kahakikisha wasukuma wanapata maji ya kunywa.
lowassa alihakikisha watu mawilayani wanawajibika. ni lowassa anaetambua kwamba tatizo la ajira kwa vijana ni time bomb. ni lowass anaeweza kutuunganisha waislamu na wakristo. ni lowassa anaeweza kuthubutu kuchukua hatua kali pale inapopaswa.
tumeshaona matatizo ya kuwa na viongozi wanaotafuta kupendwa na watu kwa kujinyenyekeza kama pinda kujiita mtoto wa mkulima na jk wake. ni mtu kama lowassa ndio anaweza kukaa na kina pk, m7 na uk wakaheshimiana.
anaweza kuonekana mchafu lakini mpaka leo hatuna uhakika wa uchafu wake. hata hivyo tunahitaji mtu mtendaji japo tunataka mtu msafi (kuna tofauti ya Kuhitaji na kutaka). na hakika akiwa rais hata waacha watendaji wenzake kama magufuli na mwakyembe(mavi ya kale hayanuki). fikiria lowassa rais, magufuli waziri mkuu na mwakyembe waziri wa kiimo (unashangaa kilimo!, aslimia 80 ya watz ni wakulima hivyo wanahitaji mchapakazi kuwasimamia).
tuachane na mambo ya kijinga na kitoto kwa kushabikia siasa kama hobby au fani tunatakiwa kujua hio ndo itaamua mustakabali wetu na wa watoto wetu hivyo tunatakiwa kuwa siriasi na makini kujenga mustakabali wetu.
kwa kweli tunahitaji rais mtendaji hatuhitaji mtu wa kujitafutia huruma za wananchi (rais ndo anatakiwa awahurumie wananchi sio wananchi wamuhurumie rais). tunahitaji rdaisi atakayetusaidia kupata ugali wetu wa kila siku, tunahitaji rais atakye hakikisha watoto wetu wanasoma. lowassa kwa muda mfupi aliokaa kma PM katujengea shule za kata pia kahakikisha wasukuma wanapata maji ya kunywa.
lowassa alihakikisha watu mawilayani wanawajibika. ni lowassa anaetambua kwamba tatizo la ajira kwa vijana ni time bomb. ni lowass anaeweza kutuunganisha waislamu na wakristo. ni lowassa anaeweza kuthubutu kuchukua hatua kali pale inapopaswa.
tumeshaona matatizo ya kuwa na viongozi wanaotafuta kupendwa na watu kwa kujinyenyekeza kama pinda kujiita mtoto wa mkulima na jk wake. ni mtu kama lowassa ndio anaweza kukaa na kina pk, m7 na uk wakaheshimiana.
anaweza kuonekana mchafu lakini mpaka leo hatuna uhakika wa uchafu wake. hata hivyo tunahitaji mtu mtendaji japo tunataka mtu msafi (kuna tofauti ya Kuhitaji na kutaka). na hakika akiwa rais hata waacha watendaji wenzake kama magufuli na mwakyembe(mavi ya kale hayanuki). fikiria lowassa rais, magufuli waziri mkuu na mwakyembe waziri wa kiimo (unashangaa kilimo!, aslimia 80 ya watz ni wakulima hivyo wanahitaji mchapakazi kuwasimamia).
tuachane na mambo ya kijinga na kitoto kwa kushabikia siasa kama hobby au fani tunatakiwa kujua hio ndo itaamua mustakabali wetu na wa watoto wetu hivyo tunatakiwa kuwa siriasi na makini kujenga mustakabali wetu.
Hivi Lowasa tayari ni rais; kiasi ambacho nasi tunatamani kuwa na rais kama yeye.
Shule za kata zimejengwa kwa jasho la wazazi wetu; tena wengine kwa kutandikwa viboko kwa amri za Ma-dc na wengine kutaifishwa mifugo yao kwa msamiati wa kuchangia shule. Ili hali wajanja wakifisidi kodi.
Kumbuka serikali corrupt haikusanyi kodi inaishia kufa na raia maskini; anyway zidi kumuombea kama unatamani awe rais huenda wa Tanganyika au JMT.
Vipi yeye msimamo wako; ni serikali mbili au tatu au hana mlengo ktk hili anasubiri tu kwenda Ikulu by any means!
Na wewe kakupa bodaboda tayari nini? kweli watanzania tumekuwa bei rahisi sana.kwa kweli tunahitaji rais mtendaji hatuhitaji mtu wa kujitafutia huruma za wananchi (rais ndo anatakiwa awahurumie wananchi sio wananchi wamuhurumie rais). tunahitaji rdaisi atakayetusaidia kupata ugali wetu wa kila siku, tunahitaji rais atakye hakikisha watoto wetu wanasoma. lowassa kwa muda mfupi aliokaa kma PM katujengea shule za kata pia kahakikisha wasukuma wanapata maji ya kunywa.
lowassa alihakikisha watu mawilayani wanawajibika. ni lowassa anaetambua kwamba tatizo la ajira kwa vijana ni time bomb. ni lowass anaeweza kutuunganisha waislamu na wakristo. ni lowassa anaeweza kuthubutu kuchukua hatua kali pale inapopaswa.
tumeshaona matatizo ya kuwa na viongozi wanaotafuta kupendwa na watu kwa kujinyenyekeza kama pinda kujiita mtoto wa mkulima na jk wake. ni mtu kama lowassa ndio anaweza kukaa na kina pk, m7 na uk wakaheshimiana.
anaweza kuonekana mchafu lakini mpaka leo hatuna uhakika wa uchafu wake. hata hivyo tunahitaji mtu mtendaji japo tunataka mtu msafi (kuna tofauti ya Kuhitaji na kutaka). na hakika akiwa rais hata waacha watendaji wenzake kama magufuli na mwakyembe(mavi ya kale hayanuki). fikiria lowassa rais, magufuli waziri mkuu na mwakyembe waziri wa kiimo (unashangaa kilimo!, aslimia 80 ya watz ni wakulima hivyo wanahitaji mchapakazi kuwasimamia).
tuachane na mambo ya kijinga na kitoto kwa kushabikia siasa kama hobby au fani tunatakiwa kujua hio ndo itaamua mustakabali wetu na wa watoto wetu hivyo tunatakiwa kuwa siriasi na makini kujenga mustakabali wetu.