amini amini nawaambia , tunahitaji raisi kama lowassa ..

amini amini nawaambia , tunahitaji raisi kama lowassa ..

Siamini kwamba kuna Watanzania kama wewe mpaka leo hawaoni umuhimu wa kuongozwa na Viongozi waadilifu,Inasikitisha sana,Bado hujajifunza haya tunayoyapata chini ya Utawala wa JK?Lowassa na JK ni kama pande mbili za sarafu linapokuja suala la namna gani wanaweza kulishughulikia tatizo la ufisadi Nchini.Nyerere pamoja na madhaifu yake kama Rais wa
Kwanza lakini katika ushauri wake kuhusu wa kuwakataa Lowassa na JK kuwa Marais wa hii Nchi alikuwa sahihi kabisa.Tulimpuuza Nyerere juu ya JK na leo tunajuta.Na wewe leo hii unaona kosa tulilolifanya kwa JK halitoshi tuliongeze lingine kwa kumchagua Lowassa?Really?
bro you are real great thinker...
 
Kama hayati baba wa taifa hili alimkataa ndani ya chama chenu leo hii mnamuona anafaa labda raisi wa wachangia harambee pesa kitu cha ajabu sana umeandika uzi kwa ajili ya pesa
 
Umaskini wa pesa na akili utaliangamiza taifa....some one i did not imagine even to appear on the list of candidates he is now oversaid and unnecessarily promoted.
 
Lowasa ndiyo kiongozi safi. Yz tunahitaji tupate rais mkali vya kutosha sio kuchekacheka na watz then ppp zinalala na hazipigi kazi.

Unamsema Jk swahiba wake mkuu el. waliyepanga kuachiana kijiti cha urais wakiwa bado chuoni. wamelivurunda na bado unawaotea uongozi wa nchi hiii......? Wee wa ajabu sana.
 
Mwanzo hata mimi nilitaka kuamini kuwa may be Lowassa ni mwizi lakini nikatulia kuchuja facts na kugundua ule ulikuwa mchezo wa kisiasa tu kuvizia nafasi ya uwaziri mkuu. Katika uwezo wa kubuni,kusimamia na kufuatilia jamaa huyu pia anao uwezo mkubwa sana pia siyo mtu wa kunyenyekea mataifa ya magharibi na kurinda masilahi yao na ndiyo maana aliweza kuipiga chini City Water na pia kama angeruhusiwa alikuwa amedhamilia kuipiga chini Richmond ingawa alizuiliwa na kuambiwa kuwa issue itajadiliwa kwenye kikao cha wataalamu yaani makatibu wakuu na ndio hapo ilipoonekana kuwa anataka kuziba uraji wa wakubwa na kuundiwa zengwe na kama hamulioni hilo hebu pimeni jinsi Richmond ilivyojigeuza kuwa Dowans na hatimaye kampuni ya kimarekani ya ........... iliyomleta hadi ombama pale ubungo na kushangiliwa na kila mtanzania na viongozi wetu hata walioipinga wakati ikiwa imevaa shati la zamani.Mimi naamini hapa mpaka uwe unaangalia kwa jicho la tatu ndio utabaini ila tayari tulipigwa chenga ya mwili na hata Lowassa tangu ajihudhuru nafasi yake ya u PM kwa kulinda serikali na chama nafasi hiyo imepwaya sana kwenye maamuzi hata kusimamia utekelezwaji wa sera na ilani za serikali.NAUNGA MKONO ANAFAA KUWA RAISI WA AWAMU YA TANO 2015
 
...nahisi hili ni jini si bure...
 
Wabongo kwa uvivu wenu wa kufikiri, na
Upumbavu wenu jiandaeni kuong ozwa na vikundi vya kimafia chini jemedari fisadi mkuu LOWASSA.
YAANI NAONA KUNA WAPUMBAVU HUMU JF WANA MUUNGA MKONO MWIZI MKUU KUTUONGOZA KAMA RAIS,HE IS GOOD FOR NOTHING.
 
Wakuu heb tuachane na zile bendera fuata upepo,ni nan katika nchi hii asimame kugombea urais na awe msaf kwa 100%?nijuacho mimi kilichomkuta lowasa ni kama ajal tu ila nyuma yake kuna weng wanaoambatana naye na ndo mana anapata ujasir wa kutaka kugombea kwan ana cha kujitetea.amin nakuambia weng wataumbuka wakat wa kampen kama tu lowasa atapta kwenye kura za maoni na ninaamin lazma iwe hvyo labda wamuue kama wataweza vingnevyo kazi wanayo.to be honest naungana na mleta uzi labda mtupe majina ya hao wasaf.
 
mwanzo hata mimi nilitaka kuamini kuwa may be lowassa ni mwizi lakini nikatulia kuchuja facts na kugundua ule ulikuwa mchezo wa kisiasa tu kuvizia nafasi ya uwaziri mkuu. Katika uwezo wa kubuni,kusimamia na kufuatilia jamaa huyu pia anao uwezo mkubwa sana pia siyo mtu wa kunyenyekea mataifa ya magharibi na kurinda masilahi yao na ndiyo maana aliweza kuipiga chini city water na pia kama angeruhusiwa alikuwa amedhamilia kuipiga chini richmond ingawa alizuiliwa na kuambiwa kuwa issue itajadiliwa kwenye kikao cha wataalamu yaani makatibu wakuu na ndio hapo ilipoonekana kuwa anataka kuziba uraji wa wakubwa na kuundiwa zengwe na kama hamulioni hilo hebu pimeni jinsi richmond ilivyojigeuza kuwa dowans na hatimaye kampuni ya kimarekani ya ........... Iliyomleta hadi ombama pale ubungo na kushangiliwa na kila mtanzania na viongozi wetu hata walioipinga wakati ikiwa imevaa shati la zamani.mimi naamini hapa mpaka uwe unaangalia kwa jicho la tatu ndio utabaini ila tayari tulipigwa chenga ya mwili na hata lowassa tangu ajihudhuru nafasi yake ya u pm kwa kulinda serikali na chama nafasi hiyo imepwaya sana kwenye maamuzi hata kusimamia utekelezwaji wa sera na ilani za serikali.naunga mkono anafaa kuwa raisi wa awamu ya tano 2015

nimekudharau kuliko mwanangu wa miezi 6 , unajitoa akili kwa manufaa ya nani ?
 
wakuu heb tuachane na zile bendera fuata upepo,ni nan katika nchi hii asimame kugombea urais na awe msaf kwa 100%?nijuacho mimi kilichomkuta lowasa ni kama ajal tu ila nyuma yake kuna weng wanaoambatana naye na ndo mana anapata ujasir wa kutaka kugombea kwan ana cha kujitetea.amin nakuambia weng wataumbuka wakat wa kampen kama tu lowasa atapta kwenye kura za maona na ninaamin lazma iwe hvyo labda wamuue kama wataweza vingnevyo kazi wanayo.to be honest naungana na mleta uzi labda mtupe majina ya hao wasaf.

nadhani post yako ndiyo post ya kimasikini zaidi tangu mwezi huu uanze ! Au umeandika kabla ya kula ?
 
Wana jf,tukubal tukatae lowasa atashika dola tu,kwa upande mwingine me naona ni sawa tu...coz mnafikiri nani ataeweza shika kile kiti zaidi yak?lowasa anaweza akiwa waziri mkuu mnakumbuka juudi zake katika kukuza elimu.!!!!toka kaondoka nn kimefanyika na shule za kata!!

Jaman tuache siasa uchwara tuangalie kiongozi mwenye uwezo wa kutatua matatizo tulionayo wantanzania.....haya n yang tu......

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Nchi lazima ishikwe na mwenye pesa kama lowassa,hawa maskini kama sisi hawafai wakiingia kwanza wanaanza kujipanga kuibia nchi watajirishe kwanza familia zao ndio watajua wananchi baadae,lowassa aje tu namkubali sana tu
 
Back
Top Bottom