amini amini nawaambia , tunahitaji raisi kama lowassa ..

amini amini nawaambia , tunahitaji raisi kama lowassa ..

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
20,997
kwa kweli tunahitaji rais mtendaji hatuhitaji mtu wa kujitafutia huruma za wananchi (rais ndo anatakiwa awahurumie wananchi sio wananchi wamuhurumie rais). tunahitaji rdaisi atakayetusaidia kupata ugali wetu wa kila siku, tunahitaji rais atakye hakikisha watoto wetu wanasoma. lowassa kwa muda mfupi aliokaa kma PM katujengea shule za kata pia kahakikisha wasukuma wanapata maji ya kunywa.


lowassa alihakikisha watu mawilayani wanawajibika. ni lowassa anaetambua kwamba tatizo la ajira kwa vijana ni time bomb. ni lowass anaeweza kutuunganisha waislamu na wakristo. ni lowassa anaeweza kuthubutu kuchukua hatua kali pale inapopaswa.

tumeshaona matatizo ya kuwa na viongozi wanaotafuta kupendwa na watu kwa kujinyenyekeza kama pinda kujiita mtoto wa mkulima na jk wake. ni mtu kama lowassa ndio anaweza kukaa na kina pk, m7 na uk wakaheshimiana.

anaweza kuonekana mchafu lakini mpaka leo hatuna uhakika wa uchafu wake. hata hivyo tunahitaji mtu mtendaji japo tunataka mtu msafi (kuna tofauti ya Kuhitaji na kutaka). na hakika akiwa rais hata waacha watendaji wenzake kama magufuli na mwakyembe(mavi ya kale hayanuki). fikiria lowassa rais, magufuli waziri mkuu na mwakyembe waziri wa kiimo (unashangaa kilimo!, aslimia 80 ya watz ni wakulima hivyo wanahitaji mchapakazi kuwasimamia).

tuachane na mambo ya kijinga na kitoto kwa kushabikia siasa kama hobby au fani tunatakiwa kujua hio ndo itaamua mustakabali wetu na wa watoto wetu hivyo tunatakiwa kuwa siriasi na makini kujenga mustakabali wetu.
 
na pale birmingham (UK) wakiwa na mwanae fred na kundi lao zima wakaunda kampuni hewa za EPA na richmond unaliongeleaje hilo?
 
arudishe kwanza mablion ye2, anapowaharasi wenzake kufanya kazi kwa mshahara mdogo huku yeye ametapeli rasilimali za watanzania maanaake nn? Arudshe kwanza mikwanja aliyochota serikalin kuptia kampun ya kitapeli richmond, tena ishia hapo nicjenikatapka.
 
kwa kweli tunahitaji rais mtendaji hatuhitaji mtu wa kujitafutia huruma za wananchi (rais ndo anatakiwa awahurumie wananchi sio wananchi wamuhurumie rais). tunahitaji rdaisi atakayetusaidia kupata ugali wetu wa kila siku, tunahitaji rais atakye hakikisha watoto wetu wanasoma. lowassa kwa muda mfupi aliokaa kma PM katujengea shule za kata pia kahakikisha wasukuma wanapata maji ya kunywa.


lowassa alihakikisha watu mawilayani wanawajibika. ni lowassa anaetambua kwamba tatizo la ajira kwa vijana ni time bomb. ni lowass anaeweza kutuunganisha waislamu na wakristo. ni lowassa anaeweza kuthubutu kuchukua hatua kali pale inapopaswa.

tumeshaona matatizo ya kuwa na viongozi wanaotafuta kupendwa na watu kwa kujinyenyekeza kama pinda kujiita mtoto wa mkulima na jk wake. ni mtu kama lowassa ndio anaweza kukaa na kina pk, m7 na uk wakaheshimiana.

anaweza kuonekana mchafu lakini mpaka leo hatuna uhakika wa uchafu wake. hata hivyo tunahitaji mtu mtendaji japo tunataka mtu msafi (kuna tofauti ya Kuhitaji na kutaka). na hakika akiwa rais hata waacha watendaji wenzake kama magufuli na mwakyembe(mavi ya kale hayanuki). fikiria lowassa rais, magufuli waziri mkuu na mwakyembe waziri wa kiimo (unashangaa kilimo!, aslimia 80 ya watz ni wakulima hivyo wanahitaji mchapakazi kuwasimamia).

tuachane na mambo ya kijinga na kitoto kwa kushabikia siasa kama hobby au fani tunatakiwa kujua hio ndo itaamua mustakabali wetu na wa watoto wetu hivyo tunatakiwa kuwa siriasi na makini kujenga mustakabali wetu.

You have said it all....nimependa sana pale unapolinganisha raisi anayependa huruma toka kwa wananchi and vice versa. Big UP.
 
Labda Rais wa Chama cha Wachangiaji Harambee Nchini Tanzania.. But Siyo President of The United Republic of Tanzania, never on Earth..
 
Mafisadi hgatuwatakiiiiiiiiiii

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
kwa kweli tunahitaji rais mtendaji hatuhitaji mtu wa kujitafutia huruma za wananchi (rais ndo anatakiwa awahurumie wananchi sio wananchi wamuhurumie rais). tunahitaji rdaisi atakayetusaidia kupata ugali wetu wa kila siku, tunahitaji rais atakye hakikisha watoto wetu wanasoma. lowassa kwa muda mfupi aliokaa kma PM katujengea shule za kata pia kahakikisha wasukuma wanapata maji ya kunywa.


lowassa alihakikisha watu mawilayani wanawajibika. ni lowassa anaetambua kwamba tatizo la ajira kwa vijana ni time bomb. ni lowass anaeweza kutuunganisha waislamu na wakristo. ni lowassa anaeweza kuthubutu kuchukua hatua kali pale inapopaswa.

tumeshaona matatizo ya kuwa na viongozi wanaotafuta kupendwa na watu kwa kujinyenyekeza kama pinda kujiita mtoto wa mkulima na jk wake. ni mtu kama lowassa ndio anaweza kukaa na kina pk, m7 na uk wakaheshimiana.

anaweza kuonekana mchafu lakini mpaka leo hatuna uhakika wa uchafu wake. hata hivyo tunahitaji mtu mtendaji japo tunataka mtu msafi (kuna tofauti ya Kuhitaji na kutaka). na hakika akiwa rais hata waacha watendaji wenzake kama magufuli na mwakyembe(mavi ya kale hayanuki). fikiria lowassa rais, magufuli waziri mkuu na mwakyembe waziri wa kiimo (unashangaa kilimo!, aslimia 80 ya watz ni wakulima hivyo wanahitaji mchapakazi kuwasimamia).

tuachane na mambo ya kijinga na kitoto kwa kushabikia siasa kama hobby au fani tunatakiwa kujua hio ndo itaamua mustakabali wetu na wa watoto wetu hivyo tunatakiwa kuwa siriasi na makini kujenga mustakabali wetu.

Labda Rais wa Chama cha Wachangiaji Harambee Nchini Tanzania.. But Siyo President of The United Republic of Tanzania, never on Earth..
 
Hatuwezi kumukabidhi nchi fisadi kama huyo arudishe kwanza fedha za watanzania, hakuna cha huruma labda akaendeshe harambee makanisani
 
Siamini kwamba kuna Watanzania kama wewe mpaka leo hawaoni umuhimu wa kuongozwa na Viongozi waadilifu,Inasikitisha sana,Bado hujajifunza haya tunayoyapata chini ya Utawala wa JK?Lowassa na JK ni kama pande mbili za sarafu linapokuja suala la namna gani wanaweza kulishughulikia tatizo la ufisadi Nchini.Nyerere pamoja na madhaifu yake kama Rais wa Kwanza lakini katika ushauri wake kuhusu wa kuwakataa Lowassa na JK kuwa Marais wa hii Nchi alikuwa sahihi kabisa.Tulimpuuza Nyerere juu ya JK na leo tunajuta.Na wewe leo hii unaona kosa tulilolifanya kwa JK halitoshi tuliongeze lingine kwa kumchagua Lowassa?Really?
 
arudishe kwanza mablion ye2, anapowaharasi wenzake kufanya kazi kwa mshahara mdogo huku yeye ametapeli rasilimali za watanzania maanaake nn? Arudshe kwanza mikwanja aliyochota serikalin kuptia kampun ya kitapeli richmond, tena ishia hapo nicjenikatapka.

kutapika tu???????kunya kabsaaa ili tujue umechukia
 
Siamini kwamba kuna Watanzania kama wewe mpaka leo hawaoni umuhimu wa kuongozwa na Viongozi waadilifu,Inasikitisha sana,Bado hujajifunza haya tunayoyapata chini ya Utawala wa JK?Lowassa na JK ni kama pande mbili za sarafu linapokuja suala la namna gani wanaweza kulishughulikia tatizo la ufisadi Nchini.Nyerere pamoja na madhaifu yake kama Rais wa Kwanza lakini katika ushauri wake kuhusu wa kuwakataa Lowassa na JK kuwa Marais wa hii Nchi alikuwa sahihi kabisa.Tulimpuuza Nyerere juu ya JK na leo tunajuta.Na wewe leo hii unaona kosa tulilolifanya kwa JK halitoshi tuliongeze lingine kwa kumchagua Lowassa?Really?

mkuu mbna unabwabwaja hvyo,huyo jmaa katoa mawazo yake tu,sasa we jlipasw uchangie kw kutumia hekima zako sasa unapokuw mkali kama vile unaigombez familia yako utakuw hutendi haki,na huwez jua,yawezekan huyo mleta uzi pengne huwez jua ni mzazi wzko
 
bila shaka unataka Nape Nnauye ahame nchi maana ana muogopa sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom