Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
- Thread starter
- #61
Labda huyo kaka alikuwa mgumu kuelewa.Kila akielekezwa haelewi....
Pamoja na yote ZD.. Sio heshima kumegwa nje! Eti labda huyo kaka alikuwa mgumu kuelewa..
Labda huyo kaka alikuwa mgumu kuelewa.Kila akielekezwa haelewi....
mie naona wote 2 wana matatizo....ila yametofautiana....Pamoja na yote ZD.. Sio heshima kumegwa nje! Eti labda huyo kaka alikuwa mgumu kuelewa..
mie naona wote 2 wana matatizo....ila yametofautiana....
saf sana, unapomgombeza au kumpiga inamaanisha ni mwisho wa hasira zako, so ukikiaa kimya na upole kama wa jamaa ni adhabu tosha kwa mharifu lakini ni ya juu sana mana m2 anaweza kujiua coz hatoamin ni adhabu gan itafuata !
ukiona unaongea kama hivi, ujue na wewe ni mmoja wao wa wazinzi wanaotokaga nje ya ndoa, siku yako inakuja, tena iko karibu sana utakapojikuta dunia hii ni ndogo kama pilitoni.macho hayaoni, masikio hayataki kusikia, unatamani dunia ipasuke uingie lakini haiwezekani, unatamani upae lakini huna mabawa, .... uzinzi ni kitu kibaya mbele za wanadamu na mbele za Mungu pia. majukumu tu ndo yakufanye uende motoni?...tendo la ndoa tu ndo likufanye umuasi Mungu wako?...mbona kuna watu wanakaa hata mwaka bila kufanya hivyo na ni waaminifu kwa Mungu wao?..maroho ya uzinzi yamewajaa ndo maana hamuwezi kutulia kwenye ndoa zenu. mngejua madhara ya uzinzi mngetulia...Ndio utafute sababu sasa? alikosea sana alipomnunia,wanawake ndio wenye tabia ya kununa.Alipaswa KUVUNJA UKIMYA.Angejua tu chanzo cha hayo yote kisha ndipo angechukua hatua....
namuuomba mungu bila kukoma mke wangu awe mwaminifu siku zote kwa maana sitaki kesi ya mauaji
Unasemehe,afu unachunguza tatizo gani limemfanya mkeo a-acheat(inawezekana mwanaume ndio source labda alikuwa anakwepa majukumu)
Unaua mwizi mmoja tu maana baada ya hapo utakuwa gerezani au utakula kitanziUtaua mke au mwizi? Kama ni mwizi utaua wangapi kama ni tabia ya mkeo?
Kweli kabisa Madiya hao wezi wa wake za watu wanatumia mautundu yote katika mapenzi na wanawateka kwelikweli. Wanawafanyia hata yale mambo ambayo humfanyii mkeo ikiwa ni pamoja na kuwala TIGO, hapo mkeo anaweza kukusahau!