Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
na ajue kabisa MAJUTO haitwi MJOMBA.
yah!!ndoa yapaswa umakini
one mistake, one goal!!
na ajue kabisa MAJUTO haitwi MJOMBA.
Huyo binti ana dhambi ya kuua+Uzinifu
naona uliiacha hiyo nyingine
yah!!ndoa yapaswa umakini
one mistake, one goal!!
kwanza mpe mimba nyingine ndo umwoe
pengine yai la uzazi lilikuwa moja tu.
Huyo binti ana dhambi ya kuua
nawe una dhambi ya uzinifu
nadhani dhambi zote ni sawa mbele za Mungu. Msamehe muendelee na maisha.
kwani kazini na nani? nahuyu aliyezini naye hana dhambi ama? kama ni dhambi wote wanayo sio dada tu.
nilichomaanisha ni
Huyo binti ana dhambi ya kuua+ uzinifu
huyo kaka ana dhambi ya uzinifu
ulisahau hiyo ya uzinifu ya huyo bint sikupingana nae
haswaaaa! ila kuna watu wana viherehere,hapo ukute alitegesha bomu hapo,lakini kiukweli kaka hayuko pekeyake,yaani hayuko salama aisee!
Mamdenyi we mkareeeeeee,ila hilo nalo neno! lakini si atatoa?maana anaonekana huyu bandidu
mkuu umenigusa mwenye kujua atoe somo kuhusu swali lakoHivi kwa nini vijana wapole wanakutanaga na vicheche?