Ametoa mimba nashindwa kumwacha

Ametoa mimba nashindwa kumwacha

Make decision mpendwa
Kujitoa kwa mtu kiasi hicho afu mwenyewe haeleweki haipendezi

Kumbe hata na wewe Chocs mwanamke mwenzie umeligundua hilo eeh!

Kama alishampa guarantee ya kumuoa kwa nini amzunguke kwenda kutoa mimba... hapo ndugu yangu una weweseka na kivuli cha mwanamke...lakini huna wife to be hapo. Sasa subiri surprise akimaliza hiyo shule tu. Kwa maana matendo na kauli zake zinaacha mashimo mengi Haya bwana Kazi kwako mkuu.!
 
Kuishi na muuaji ni kazi sana! chunga sana bwana mdogo. unless na ww uwe player
 
mimba haikuwa yako......alinasa na alitaka tu ''insurance policy''.yaani ahadi yako ya ndoa,na kwa kuwa hakupendi kama unavyompenda..akaona anaweza kumaliza tatizo jumla bila wewe kumsumbua na akawaweka nduguze vizuri poa at the same time.

MY TAKE: kama unampenda kweli kweli,basi angalia kama unaweza vumilia hili na mengine mengi(am sure yapo) ambayo huyajui na zaidi sana ukweli wa uwezekano wa yeye kutokukupenda kama wewe unavyompenda!

kama huwezi basi mkuu.......japo inauma................chukua uamuzi mgumu kabisa........break up with her!

(been in the similar path bruh..........i know how you feel! lakini polpe yangu haiwezi kukusaidia!)
 
ni kweli hiyo mimba c yako, akutaka tu kukubebesha mzigo wa mtu mwingine. afu hyo akufai usiangalie wazazi na jamii jiangalie wewe na watoto wako utakapo kuja kupata ni mama anayewafaa kweli?



ushuri wangu achana nae.
 
mwanamke hapo amekosea sana kama amekuomba msamaha na unampenda msamehe kwani hakuna aliyekamilika hapa duniani pole sana bro
 
Back
Top Bottom