Amerudi na shanga kiunoni

Amerudi na shanga kiunoni

Yaani Dr nawe unaunga mkono hili? kwi kwi kwi kwi sasa mtafanya nikiingia mitini nisirudi tena humu na hata mtaani kujificha kwa kufaa zile kofia za kuziba mpaka macho na miwani ya jua ili msinistukie 🙂🙂



Haswaaaaaa hiyo itakuwa shughuli pevu
 
Alimvalia x wake wa huko kijijini kwao sasa alipokurupuka kuja kwako akasahau kuivua, tafakari chukua hatua.
 
wanaume wengi mmekuwa wambea sijui ni hulka yenu au kisa jf? yaani mnaanika yoote mnavyoishi na wake zenu ingawa hatujuani ila mshaanza kukera kwa visired vyenu vingine havina maana!!
 
Mpo?

Nilimruhusu mke wangu aende kwao kipindi cha uchanguzi kwani kura yake aliichukulia huko wakati alipoenda kuwajulia hali.

Sasa kinachonitia kiwewe ni kuwa amerudi na shanga kiunoni.
Sijui kama nina jambo la kuhofia au ni hali ya kawaida.

Wazoefu niambieni kama kuna huenda kuna jambo!
Acha kumfikiria vibaya wewe assume tu kwamba kaamua kuvaa mwenyewe
 
Mpo?

Nilimruhusu mke wangu aende kwao kipindi cha uchanguzi kwani kura yake aliichukulia huko wakati alipoenda kuwajulia hali.

Sasa kinachonitia kiwewe ni kuwa amerudi na shanga kiunoni.
Sijui kama nina jambo la kuhofia au ni hali ya kawaida.

Wazoefu niambieni kama kuna huenda kuna jambo!
ukiona manyoya ujue.........
 
wanaume wengi mmekuwa wambea sijui ni hulka yenu au kisa jf? yaani mnaanika yoote mnavyoishi na wake zenu ingawa hatujuani ila mshaanza kukera kwa visired vyenu vingine havina maana!!
Hahaha
 
Back
Top Bottom