Amerudi na shanga kiunoni

Amerudi na shanga kiunoni

wanaume wengi mmekuwa wambea sijui ni hulka yenu au kisa jf? yaani mnaanika yoote mnavyoishi na wake zenu ingawa hatujuani ila mshaanza kukera kwa visired vyenu vingine havina maana!!

Wewe mwenyewe mmbeya.
 
Mpo?

Nilimruhusu mke wangu aende kwao kipindi cha uchanguzi kwani kura yake aliichukulia huko wakati alipoenda kuwajulia hali.

Sasa kinachonitia kiwewe ni kuwa amerudi na shanga kiunoni.
Sijui kama nina jambo la kuhofia au ni hali ya kawaida.

Wazoefu niambieni kama kuna huenda kuna jambo!

WTH? Umeoa kweli??????? Unatuuliza sisi wakati ni mkeo????
 
yani mimi nashindwa kuelewa hizi ndoa za siku hizi, tumekua tukiona mababu na bibi zetu wakificha siri zao za ndani na kumaliza tofaut zao chumbani, bibi hata akiamka na ngeu asubuhi atakuongopea alijigonga kwenye kitanda kumbe alipigwa, ila kwa sasa kila kinachotokea chumbani kinaletwa hadharani mengine ni ya aibu mfichage aibu zenu na kusitiri mambo yenu chumbani chaa!

ulishindwa nini kukaa kitako na mkeo na kumuuliza kuhusu shanga, labda kafika kwao kafundwa kuwa inaongeza ujuzi, kama hupendi mambo hayo si unamwambia tu aitoe.


kaa na mkeo mkeo msemezane yeye ndo ana majibu wewe ni mume wake ana wajibu wa kukupa maelezo.
 
Mlishawahi kuzingumzia maswala ya shanga hapo mwanzo?
 
Hivi ndoa siku hizi zinasiri? Ingekua zina siri tusingesikia stories kwa wamama na wadada kama ooooh mpz au mume hanitoshelezi au Au utawasikia kwenye daladala yule kaka eti ananitaka sasa ukimpa utatoa mrejesho? Wanawake kwa Waume huongea mambo yao kwa rafiki na shoga zao. Mitandaoni na kwingineko kwingi. Shida ni ikiwa tu Umekerwa na ujumbe huo. Jiulize mara ngapi umezungumzia maisha yako ya kimahusiano na mtu asie husika? Mambo ya kitandani ni ya wawili na utupu ni zawadi ya Chumbani. Lakini siku hizi utupu ni wa barabarani na mambo ya chumbani yapo kila unapokatiza. Hivyo sijaishangaa stori hio.
 
Aliye msiri wa mambo ya chumbani awe wa kwanza kunipiga jiwe mie Kiluuj!
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wanazingua ndio maana wanaume wengi wameanza kushitaki JF
 
mpo?

Nilimruhusu mke wangu aende kwao kipindi cha uchanguzi kwani kura yake aliichukulia huko wakati alipoenda kuwajulia hali.

Sasa kinachonitia kiwewe ni kuwa amerudi na shanga kiunoni.
Sijui kama nina jambo la kuhofia au ni hali ya kawaida.

Wazoefu niambieni kama kuna huenda kuna jambo!
tuwapendeje jamani mama kaamu kuongeza manjonjo hupaswi kuwa na hofu
 
wanaume wengi mmekuwa wambea sijui ni hulka yenu au kisa jf? yaani mnaanika yoote mnavyoishi na wake zenu ingawa hatujuani ila mshaanza kukera kwa visired vyenu vingine havina maana!!

kama na wewe unavaa si useme
 
wanaume wengi mmekuwa wambea sijui ni hulka yenu au kisa jf? yaani mnaanika yoote mnavyoishi na wake zenu ingawa hatujuani ila mshaanza kukera kwa visired vyenu vingine havina maana!!

Hivi na huu nao Ni umbea? Hata kama sijui umbea ila huu sio mama, sema tu brother kashindwa kuchukua maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.
 
"Be an example.." 1 Timothy 4:12
Irere lya Isembo ni ndeu - Benki ya mjinga ni tumbo lake.
Mndu Kangikunda naware rero Lyako..John 14:23

Courtesy of Mentor
 
Last edited by a moderator:
Haya mnaosema wanawake hawaridhiki!
Wanaume mnaridhika????
 
Hivi na huu nao Ni umbea? Hata kama sijui umbea ila huu sio mama, sema tu brother kashindwa kuchukua maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.

asa mtu kushindwa kuvumilia na jambo alifikirie kwanza kwa undani anaanza kutangaza ni nini kama si umbea
 
Angerudi na chain shingoni+hereni mpya nayo ungekuja kuomba ushauri?mke ni wako mwenyewe unashindwa nini kumuuliza?na kama hupendi si umwambie avue? Dah mmekuaje siku hizi?
 
Mpo?

Nilimruhusu mke wangu aende kwao kipindi cha uchanguzi kwani kura yake aliichukulia huko wakati alipoenda kuwajulia hali.

Sasa kinachonitia kiwewe ni kuwa amerudi na shanga kiunoni.
Sijui kama nina jambo la kuhofia au ni hali ya kawaida.

Wazoefu niambieni kama kuna huenda kuna jambo!

yakate muendelee kama kawa
 
Back
Top Bottom