miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Basi pilipilichumvi tena, mbona ipo naturally?
Basi pilipilichumvi tena, mbona ipo naturally?
Bibi yake mzaa mama kamwambia avae shanga ili zikupagawishe, kama unajua matumizi yake. Hakuna haja ya kulalamika kuhusu hili Mkuu kama huzipendi mwambie avue.
Mpo?
Nilimruhusu mke wangu aende kwao kipindi cha uchanguzi kwani kura yake aliichukulia huko wakati alipoenda kuwajulia hali.
Sasa kinachonitia kiwewe ni kuwa amerudi na shanga kiunoni.
Sijui kama nina jambo la kuhofia au ni hali ya kawaida.
Wazoefu niambieni kama kuna huenda kuna jambo!
Hatimae umeonekana aise!
Jamani ndio upotee namna hiyo?Kwa kuchungulia tu, utamu haupo tenaaaaa lol! Natumai uko poa kabisa.
Jamani ndio upotee namna hiyo?
Mie niko bukheri kabisa
Nafurahi kusikia uko bukheri wa afya, Muumba wetu ashukuriwe sana. Sasa kama kijiwe kimekosa utamu uliokuwepo miaka ya nyuma kwanini uzuke hapa hapa kila dakika wakati kilichokuwa kinakuvutia na kutaka kuwepo humu kila sekunde hakipo tena? Kheeeeee kheeeeee 🙂
Wewe mwenyewe ni sehemu ya utamu huo sasa ukikimbia ndio kabisa utamu unakata
Kheeee kheeeee sikujua kama BAK ni sehemu ya utamu wa humu lol! mimi nilikuwa najua ni mpita njia tu 🙂🙂🙂
Sasa ndio ujue upunguze kupotea sawa eeh
Tulimiss mambo yako si mchezo
Mie jukwaa langu kipenzi ni lile la siasa, sasa kule kuna wahuni wamekodiwa na kulipwa mapesa mengi sana, ukiandika kitu ambacho hawakipendi basi watarusha matusi ya nguoni. Ukiwafuata PM na kuwaonyesha kama nawe matusi unayajua na unayaweza maana kuandika matusi hadharani wengine si rahisi maana tuna maswahiba wetu humu ambao tunaheshimiana nao sana na ukirusha matusi wananuna. Sasa ukirusha matusi kwenye pm wanatoka mbio kwenda kwa MODS kushtaki kwamba wametusiwa na MODS wanakurupuka na kuweka kibano bila hata kutafuta ukweli wa habari. Basi ndiyo sababu baadhi humu wameamua kusepa kimya kimya. Kheeeee kheeeee 🙂🙂
Haswaaaaaa hiyo itakuwa shughuli pevuAkipotea tena tunamsaka na ving'ora
Akipotea tena tunamsaka na ving'ora