Amerudi na shanga kiunoni

Amerudi na shanga kiunoni

Kiluuj

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
692
Reaction score
278
Mpo?

Nilimruhusu mke wangu aende kwao kipindi cha uchanguzi kwani kura yake aliichukulia huko wakati alipoenda kuwajulia hali.

Sasa kinachonitia kiwewe ni kuwa amerudi na shanga kiunoni.
Sijui kama nina jambo la kuhofia au ni hali ya kawaida.

Wazoefu niambieni kama kuna huenda kuna jambo!
 
kama mkeo itakuwa mara kwa mara anaenda kijijini basi atakuwa anajikumbushia na X wa zaman lwa sababu si alikulia kule
 
Ukweli ni kuwa kwa wanawake wa pwani hiyo ni kawaida. wanapenda wajue waume zao wanapenda nini?. hivyo kama upendi mwambie na hatovaa tena. kuna uwezekano ukumwambia chochote kuhusu shanga hapo mwanzo. ila kiukweli wanavyochezwa wanafundishwa shanga si sehemu ya kuongeza starehe na heshima katika nyumba zao ila si kwa wanaume wote.
 
Mpo?

Nilimruhusu mke wangu aende kwao kipindi cha uchanguzi kwani kura yake aliichukulia huko wakati alipoenda kuwajulia hali.

Sasa kinachonitia kiwewe ni kuwa amerudi na shanga kiunoni.
Sijui kama nina jambo la kuhofia au ni hali ya kawaida.

Wazoefu niambieni kama kuna huenda kuna jambo!


Je, hajachorwa na tattoo mapajan??
 
wanaume wengi mmekuwa wambea sijui ni hulka yenu au kisa jf? yaani mnaanika yoote mnavyoishi na wake zenu ingawa hatujuani ila mshaanza kukera kwa visired vyenu vingine havina maana!!

Dada ulichoongea ni kweli tupu lkn huenda na ile tabia za kule kwa David Cameron zimechangia sana. Huwezi kuja kumdharirisha mke wako jamiiforum hata kama tunatumia ID fake eti kisa shanga kiunoni.
 
Dada ulichoongea ni kweli tupu lkn huenda na ile tabia za kule kwa David Cameron zimechangia sana. Huwezi kuja kumdharirisha mke wako jamiiforum hata kama tunatumia ID fake eti kisa shanga kiunoni.
karibia wengi nna wasi wasi nao wana tabia za mabwabwa
 
Kwani ndio mara ya kwanza kumuona kuvaa au hua akienda kwao anaziwacha kwako na akirejea ndio anazivaa tena?
 
huyo mkeo ana kiuno kweli au ndo wale kama sweet16 kiuno tumbo mgongo havieleweki vilipo afu unakuja na sired haina maana apa
 
wanaume wengi mmekuwa wambea sijui ni hulka yenu au kisa jf? yaani mnaanika yoote mnavyoishi na wake zenu ingawa hatujuani ila mshaanza kukera kwa visired vyenu vingine havina maana!!

Hahahahahaha take five dear.
 
Usishangae ujue atakua amechekwa huko kwao kwanini hajavaa. Ujue kuna makabila ni jadi. Kama hujavaa lazima wakushangae. Kwahiyo usiwe na wasiwasi kafundwa huko kwao.
 
Back
Top Bottom