Ameri Nkurlu wa CHADEMA ashinda udiwani akiwa Gerezani

Ameri Nkurlu wa CHADEMA ashinda udiwani akiwa Gerezani

Criminal kawa diwani! Waliomchagua wapimwe akili. Halafu, kwa nn mashabiki wengi wa chadema ni wavuta bangi, wanywa gongo, bodaboda wenye asili ya ukibaka, wahuni na wauza miili yao, magaidi, na majambazi?

umesahau na wanavyuo,wenye helim ya kutosha....
 
Criminal kawa diwani! Waliomchagua wapimwe akili. Halafu, kwa nn mashabiki wengi wa chadema ni wavuta bangi, wanywa gongo, bodaboda wenye asili ya ukibaka, wahuni na wauza miili yao, magaidi, na majambazi?

CCM ni Choo.By Dr.W.Slaa
 
Criminal kawa diwani! Waliomchagua wapimwe akili. Halafu, kwa nn mashabiki wengi wa chadema ni wavuta bangi, wanywa gongo, bodaboda wenye asili ya ukibaka, wahuni na wauza miili yao, magaidi, na majambazi?

Bahati nzuri siwezi kukusogelea !!, ningekupiga makofi kama huyo kamanda alivyomtia adabu huyo wa ccm.
 
Ameri Nkulu(56) aliyehukumiwa kwenda jela miezi 6,siku 2 kabla ya uchaguzi wa Oktoba. Sasa ni diwani wa kata ya Lusaka Sumbawanga.

Kada huyo bado yupo jela na ataapishwa baada ya hukumu kuisha.Kamanda alihukumiwa kwa kumkata vibao kiongozi wa CCM Kristian Kafwimbi

Tunampongeza sana huyo kamanda
 
LAKINI si tuliambiwa "wapigwe tuu" sasa kosa la huyu Diwali mteule lilikuwa nini wakati alikuwa anatekeleza agizo la mtoto wa mkulima?

Tena amelitumia huko huko kwa mtoto wa mkulima
 
Huu uzi ni serious issue lkn uchangiaji wake ni kama comedian wamekutana jukwaa moja.......kwanini amkate kibao.....sababu ccm wahuni wanajifanya hii nchi yao......jibu lingine......Aliitwa demu.....Akileta dharrau unapiga tu......dah.....salute kwenu JF.

Salute kwako mkuu
 
ndugai alipiga mtu mpaka akalazwa, chegeni alipiga mtu vitasa, rage alipanda mpaka na bastola, geita wana ccm wameua, hapo utajua tuna nchi ya aina gani
 
Hiyo inaonyesha CCM haitakiwi. Kama mlidhani magufuli atawaokoa mnaota
 
Safi sana hiyo kata kwa kukubali mabadiliko na kumchagua kamanda na kumpa nguvu sasa harakati mpaka gerezani
 
Criminal kawa diwani! Waliomchagua wapimwe akili. Halafu, kwa nn mashabiki wengi wa chadema ni wavuta bangi, wanywa gongo, bodaboda wenye asili ya ukibaka, wahuni na wauza miili yao, magaidi, na majambazi?

Wewe ni mpumbavu? Mbona hujahoji ndugai kuwa spika na wakati alimpiga mtu hadi akazimia? Au kisa waliomchagua ni ccm?
 
Iyo ilikua hukumu ya kisiasa maana ilitoka hukumu mapema kabla ya uchaguzi ili ashindwe..hukumu haina hata chaguo la faini ni jela straight..mahakama changisheni fedha kutoka katika kesi izo hukumu kama izi za.. iwe fundisho kwa wengine za kizamani sana..badilikeni bwana..
 
Fisiem walidhani watafanikiwa na hiyo hujuma,wana laana hawa jamaa
 
Back
Top Bottom