Goliath mfalamagoha
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 602
- 2,506
Tukiwa na diwani Emmanuel Jackson Jingu wa kata ya Iseke baada ya kumtoa gerezani alikokuwa amehukumiwa kifungo cha miezi mitano au kulipa faini shs laki tano.
Alihukumiwa jana na leo tayari tumemtoa baada ya kulipa faini hiyo.
Diwani ndo huyu amevaa Tishet ya mistari.
Mutta L. AB
Mratibu wa kesi mkoa Singida
--
SOMA: Diwani wa Kata ya Iseke (CHADEMA) Mhe Emanuel Jingu, amehukumiwa kwenda jela miezi mitano
Alihukumiwa jana na leo tayari tumemtoa baada ya kulipa faini hiyo.
Diwani ndo huyu amevaa Tishet ya mistari.
Mutta L. AB
Mratibu wa kesi mkoa Singida
--
SOMA: Diwani wa Kata ya Iseke (CHADEMA) Mhe Emanuel Jingu, amehukumiwa kwenda jela miezi mitano
