Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,933
- 133,986
Ameri Nkulu(56) aliyehukumiwa kwenda jela miezi 6,siku 2 kabla ya uchaguzi wa Oktoba. Sasa ni diwani wa kata ya Lusaka Sumbawanga.
Kada huyo bado yupo jela na ataapishwa baada ya hukumu kuisha.Kamanda alihukumiwa kwa kumkata vibao kiongozi wa CCM Kristian Kafwimbi
Kada huyo bado yupo jela na ataapishwa baada ya hukumu kuisha.Kamanda alihukumiwa kwa kumkata vibao kiongozi wa CCM Kristian Kafwimbi