Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Hii ni kauli ya kidemokrasia inayonichefua sana, hasa wakati wa uchaguzi. Hutokea wakati wa kura za maoni na uchaguzini. Ni nafasi adimu ya magamba kuchakachua na kuanza kuhesabu majimbo. Kila Jimbo lisimamishe wagombea. Hakuna anayependwa na wote. Iweje mtu asipingwe? Tuwasidie NEC kufuta kauli hii. Yawezekana