AMENITAMKIA KUWA ANANIPENDA

AMENITAMKIA KUWA ANANIPENDA

Je siku hyo ulienda na usafiri gan kanisan? Na alkuona pind ukishuka kwny huo usafiri? Je ulkuwa na private car? Au ulienda kwa bodaboda or bajaji? Huenda alipenda gari lako tu wanawake wengi sikuhz wanapenda vitu ulivonavyo so be care.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usimuache huyo binti mkubalie mtafika mbali sana kwenye uhusiano wenu huo mpya labda wewe ndio uzingue mbeleni huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hilo nalo unaomba ushauri. Acha uzembe basi wanaume tuwaze ishu zingine hilo lipo ndani ya uwezo wako
 
yah kiasi fulani tulikuwa tunafahamiana hapo kabla kupitia kwa rafiki yake na pia muumini sana anasali sana....sasa baada ya kumuona maeneo ya kuabudia mara kadhaa nikaamua nichukue namba yake
Kaona unamcheleweshea kumtamkia akajiongeza, ila kuambiwa unapendwa ni jambo la kawaida
 
Ss c na ww umwambie unampenda,?huwa mambo mengine wanaume tunayamalza wnyew hakuna haja ya kuyaleta huku
 
Ss c na ww umwambie unampenda,?huwa mambo mengine wanaume tunayamalza wnyew hakuna haja ya kuyaleta huku
niko njia panda...nawaza nipemde yule niliyemtamkia mwenyewe au....nimpende aliyenitamkia mwenyewe????....YUPI BORA Mkuu
 
Je siku hyo ulienda na usafiri gan kanisan? Na alkuona pind ukishuka kwny huo usafiri? Je ulkuwa na private car? Au ulienda kwa bodaboda or bajaji? Huenda alipenda gari lako tu wanawake wengi sikuhz wanapenda vitu ulivonavyo so be care.
Sent using Jamii Forums mobile app
bodaboda mkuu
 
habari in short...
kuna binti nilimuona siku fulani nilipokuwa nimeenda kusali....basi kabla kuingia kweny ibada tulibadilishana Namba kwa ajili ya kuwasiliana... basi siku moja nimempigia simu...ile mwishoni naaganaa nae kwenye simu AKANAMBIA ...nikwambie kitu....,,,, hapo kidogo nilisita kumuitikia nilifikiri ni mzinga anatka kuniripua...basi nikamwambia Nambie tu....BASI MIMI MWENZIO NAKUPENDA....kiukweli sikuamini nilihisi ni utani si unajua tena Mwanamke kumtamkia Mwanaume kidogo haijazoeleka kidesturi...basi nikamwambia nitaprove siku nikikuona....
SASA NDUGU ZANGU....MNANISHAURI VIPI NIENDELEE NAE....KWASABABU AMENITAMKIA MWENYEWE AU...ITAKUWA NI MBINU TU ANA LENGO LAKE....????
...
Sijaona shida hapa kwa huyu msichana, shida ipo kichwani mwako mleta uzi.

Neno kupenda lina maana pana sana.
1. Kakupenda kama rafiki mcha Mungu
2. Kakupenda kama rafiki wa kukidhi haja zake za ngono
3. Kakupenda kwa hekima na busara zako anataka muwe karibu
4. Kakupenda kwa kuwa mna-share common interest
5. Kakupenda ili mjiandae kuitwa baba na watoto wenu (Japo kwa ulichoandika hapo naona kabisa wewe mwenyewe bado mtoto kiumri kama sio akili)

Huyu msichana atakuwa mbele yako kwa mambo mengi kuanzia akili na matendo, na ndio maa a umeshindwa kumwelewa
 
habari in short...
kuna binti nilimuona siku fulani nilipokuwa nimeenda kusali....basi kabla kuingia kweny ibada tulibadilishana Namba kwa ajili ya kuwasiliana... basi siku moja nimempigia simu...ile mwishoni naaganaa nae kwenye simu AKANAMBIA ...nikwambie kitu....,,,, hapo kidogo nilisita kumuitikia nilifikiri ni mzinga anatka kuniripua...basi nikamwambia Nambie tu....BASI MIMI MWENZIO NAKUPENDA....kiukweli sikuamini nilihisi ni utani si unajua tena Mwanamke kumtamkia Mwanaume kidogo haijazoeleka kidesturi...basi nikamwambia nitaprove siku nikikuona....
SASA NDUGU ZANGU....MNANISHAURI VIPI NIENDELEE NAE....KWASABABU AMENITAMKIA MWENYEWE AU...ITAKUWA NI MBINU TU ANA LENGO LAKE....????
...
Hongera kwa kupata rafiki mpya mkuu,
ushauri:
1:Wakati mwingne akipiga simu hata mara kumi usipokee, mtafute badae
Au akituma ujumbe usijibu jibu badae

2:Akikutembelea pika matembelee
3:Muombe game uone mwitikio wake
4:Akikuombe pesa msaidie lakini si kwa nia mbaya bali kama binadamu yeyote mwenye uhitaji
5:Siku nyingne mwambie kna ishu fulani ya pesa umekwama akikutumia kaa nazo siku mbili au tatu mrudishie pesa zake kwa njia ambayo hatagundua kuw unamrudishia ela zake

visa hivo vitakusaidia kumfahamu
1:kupima uvumilivu wake anapokutana na changamoto pia kupima upendo wake kama ni og au upendo wa vifurushi
2:Kupima msimamo wake kwenye mapenzi na jinsi gani anajiheshimu
lakini kama ataitikia fasta kukupa mchezo basi huyo lengo lake ni tamaa ya kimwili tu na sio kujenga familia
3:Itakusaidia kumpima kama kweli yuko tayari kukusaidia unapopata matatizo,pia itadhihirisha jinsi gani amejitoa kwako

Angalizo:Usimfanyie visa kwa kumnyanyasa kisa amekupenda bali lengo ni kutaka kufahamu yukoje


mwisho:Muombe sana Mungu wako akupe mke mwema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom