humility21
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 448
- 620
Wakuu, naomba mnipe tafsiri juu ya jambo hili.
Kuna demu nilikuwa namtokea tokea bahati nzuri kiasi tukawa tunaenda vizuri ktk mawasiliano yetu ingawa kuna kipindi cha hapa mwisho mwisho mawasiliano baina yetu yalipungua sana huyu demu akawa hapokei simu zangu wala kujibu sms zangu lakini mimi sikujali, nikawa naendelea tu kumtumia sms kumsalimia na kumpigia simu hata kama haonyeshi ushirikiano.
Sasa kama wiki 2 zilizopita nilimtumia tu sms moja yenye ujumbe wa tofauti sio ujumbe wa kimapenzi bali ni ujumbe wakuelimisha ambao unamfaa kila mtu kuhusu maisha, baada ya hiyo sms demu akablock namba yangu kwa kuhisi ule ujumbe ulikuwa umemlenga yeye na ni kama nilikuwa nimemkashifu, baada ya hapo nikatumia namba yangu nyingine kumwambia kitendo alichofanya cha yeye kuniblock sio kizuri, vile vile nikamueleza ile sms nilikua nimeituma kwa marafiki zangu wote na sio yeye peke yake, na nikweli niliituma kwa kila rafiki yangu, kwasababu alikuwa ameshaniblock nikaamua kumwambia namtakia kila la heri kwenye maisha yake na yeye akanijibu sawa.
Baada ya wiki moja tangu mimi na yeye mawasiliano yetu yaishe, nilikutana na huyu demu mahali fulani mjini katika pilika pilika zangu za kila siku, baada ya kukutana mikajaribu kumsalimia kumjulia tu ili kumjulia hali ila nikaona mwenzangu ameninunia na pia kunikaushia ingawa wakati tunaachana nilimwambia mimi sina kinyongo na yeye hata kama ameniblock na tunaachana. Sasa zimefika wiki 2 nikiangalia whatsapp naona bado huyu demu bado ameniblock.
Naomba mnisaidie wadau kutafsiri ni kwanini huyu demu ameninunia licha ya mimi kumfafanulia kuhusu maana ya ile sms niliyokuwa nimemtumia na bahati nzuri sms yenyewe haikuwa ya matusi na pia bado nilimwambia mimi sina kinyongo na yeye licha ya yeye kuniblock na mawasiliano yetu kuisha, yaani nikimwonyesha kwamba mimi nina moyo safi tu.
Naomba tafsiri wakuu kwasabu gani huyu demu alininunia nilipokutana nae. Je, sababu inaweza kuwa labda kwakua labda nilimuambia namtakia kila la heri kwenye maisha yake, yaani hakutakuwa na mawasiliano zaidi?
Kuna demu nilikuwa namtokea tokea bahati nzuri kiasi tukawa tunaenda vizuri ktk mawasiliano yetu ingawa kuna kipindi cha hapa mwisho mwisho mawasiliano baina yetu yalipungua sana huyu demu akawa hapokei simu zangu wala kujibu sms zangu lakini mimi sikujali, nikawa naendelea tu kumtumia sms kumsalimia na kumpigia simu hata kama haonyeshi ushirikiano.
Sasa kama wiki 2 zilizopita nilimtumia tu sms moja yenye ujumbe wa tofauti sio ujumbe wa kimapenzi bali ni ujumbe wakuelimisha ambao unamfaa kila mtu kuhusu maisha, baada ya hiyo sms demu akablock namba yangu kwa kuhisi ule ujumbe ulikuwa umemlenga yeye na ni kama nilikuwa nimemkashifu, baada ya hapo nikatumia namba yangu nyingine kumwambia kitendo alichofanya cha yeye kuniblock sio kizuri, vile vile nikamueleza ile sms nilikua nimeituma kwa marafiki zangu wote na sio yeye peke yake, na nikweli niliituma kwa kila rafiki yangu, kwasababu alikuwa ameshaniblock nikaamua kumwambia namtakia kila la heri kwenye maisha yake na yeye akanijibu sawa.
Baada ya wiki moja tangu mimi na yeye mawasiliano yetu yaishe, nilikutana na huyu demu mahali fulani mjini katika pilika pilika zangu za kila siku, baada ya kukutana mikajaribu kumsalimia kumjulia tu ili kumjulia hali ila nikaona mwenzangu ameninunia na pia kunikaushia ingawa wakati tunaachana nilimwambia mimi sina kinyongo na yeye hata kama ameniblock na tunaachana. Sasa zimefika wiki 2 nikiangalia whatsapp naona bado huyu demu bado ameniblock.
Naomba mnisaidie wadau kutafsiri ni kwanini huyu demu ameninunia licha ya mimi kumfafanulia kuhusu maana ya ile sms niliyokuwa nimemtumia na bahati nzuri sms yenyewe haikuwa ya matusi na pia bado nilimwambia mimi sina kinyongo na yeye licha ya yeye kuniblock na mawasiliano yetu kuisha, yaani nikimwonyesha kwamba mimi nina moyo safi tu.
Naomba tafsiri wakuu kwasabu gani huyu demu alininunia nilipokutana nae. Je, sababu inaweza kuwa labda kwakua labda nilimuambia namtakia kila la heri kwenye maisha yake, yaani hakutakuwa na mawasiliano zaidi?