Ameniblock kila sehemu lakini akiweka picha kali ananifungulia

Wadau mpo salama bila Shaka..
Miezi kadhaa nilimtokea dada fulani hivi nikamwambia namna gani nilikwa nampenda Sana. Akasema anashukuru Sana kupendwa na Mimi..Nikasema poa ,but halikwa jibu sahihi kusema hivyo. Baadae akanambia pia Hana mtu pale MZUMBE asomapo.
Mzee mzima Nikasema nimewini, isitoshe Ni mtoto mtoto kweli.
Kumchokonoa zaidi ndo akanambia atanipa jibu baada ya cku tatu,, nikasubiri wee ilipofika hyo cku akanambia eti ana mtu wake na anampenda san hawezi kumuacha.lakini eti nice na subira Pengine anaweza kunielewa..
Baada ya cku kadhaa nikakutana nae jibu likawa hilohilo..
Basi nikaridhia hakuna namna akufukuzae hakwambii toka. Kwanzia happo nikakauka c message Wala call.. lakini cku fulani fulani akawa hakosi kuntumia text GOOD NIGHT na zingine za mfanowe..
Basi mi nilikwa nikishukuru tu na kumwambia jinci gani namzimia.
Shida iko hapa, wiki ilopita alintumia text,UCKU MWEMA nikaijibu vyema ahsante kwake pia I love her..
Nikaona c vyema kumkaukia mtoto Kama yule. Nikaanza shobo ndo nikaanza shobo z's kumpigia na text,, C NDO HAPO NIKAGUNDUA AMENIBLOCK KILA MAHALI WASAP, CALL, TEXT NA KWINGINEKO.
LAKINI CHA AJABU AKITUPIA PICHA KALI WASAP ETI ANANIFUNGULIA KUTOKA BLOCK..


WADAU MNISAIDIE..HUYU DADA VIPI?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli Sela,
Dogo una shobo nyingi sana ndio maana demu kakuona boya. Mtu anakutakia usiku mwema tu tayar ushaona unapendwa na kutuma mameseji kibao I love u, miss u. Pumbavu!!! Tulia watakufuata, wewe alishakwambia hakutaki na Block alokupa ni ushahidi wa yeye kukwepa shobo zako.

Cha msingi fanya kazi upate pesa sio vijipesa, utaacha shobo na watakufuata wenyewe.
 
Wewe kweli Sela,
Dogo uma shobo nyingi sana ndio maana demu kakuona boya. Mtu anakutakia usiku mwema tu tayar ushaona unapendwa na kutuma mameseji kibao I love u, miss u. Pumbavu!!! Tulia watakufuata, wewe alishakwambia hakutaki na Block alokupa ni ushahidi wa yeye kukwepa shobo zako.

Cha msingi fanya kazi upate pesa sio vijipesa, utaacha shobo na watakufuata wenyewe.
Mpaka nikipata pesa umri utakwa umeenda Sana. lkn hamna namna. UKWELI MCHUNGU ASEE KUTOKA KWAKO,,SHOBO NAACHA BR.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau mpo salama bila Shaka..
Miezi kadhaa nilimtokea dada fulani hivi nikamwambia namna gani nilikwa nampenda Sana. Akasema anashukuru Sana kupendwa na Mimi..Nikasema poa ,but halikwa jibu sahihi kusema hivyo. Baadae akanambia pia Hana mtu pale MZUMBE asomapo.
Mzee mzima Nikasema nimewini, isitoshe Ni mtoto mtoto kweli.
Kumchokonoa zaidi ndo akanambia atanipa jibu baada ya cku tatu,, nikasubiri wee ilipofika hyo cku akanambia eti ana mtu wake na anampenda san hawezi kumuacha.lakini eti nice na subira Pengine anaweza kunielewa..
Baada ya cku kadhaa nikakutana nae jibu likawa hilohilo..
Basi nikaridhia hakuna namna akufukuzae hakwambii toka. Kwanzia happo nikakauka c message Wala call.. lakini cku fulani fulani akawa hakosi kuntumia text GOOD NIGHT na zingine za mfanowe..
Basi mi nilikwa nikishukuru tu na kumwambia jinci gani namzimia.
Shida iko hapa, wiki ilopita alintumia text,UCKU MWEMA nikaijibu vyema ahsante kwake pia I love her..
Nikaona c vyema kumkaukia mtoto Kama yule. Nikaanza shobo ndo nikaanza shobo z's kumpigia na text,, C NDO HAPO NIKAGUNDUA AMENIBLOCK KILA MAHALI WASAP, CALL, TEXT NA KWINGINEKO.
LAKINI CHA AJABU AKITUPIA PICHA KALI WASAP ETI ANANIFUNGULIA KUTOKA BLOCK..


WADAU MNISAIDIE..HUYU DADA VIPI?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sisi tutajuaje? Labda mshana
 
Wadau mpo salama bila Shaka..
Miezi kadhaa nilimtokea dada fulani hivi nikamwambia namna gani nilikwa nampenda Sana. Akasema anashukuru Sana kupendwa na Mimi..Nikasema poa ,but halikwa jibu sahihi kusema hivyo. Baadae akanambia pia Hana mtu pale MZUMBE asomapo.
Mzee mzima Nikasema nimewini, isitoshe Ni mtoto mtoto kweli.
Kumchokonoa zaidi ndo akanambia atanipa jibu baada ya cku tatu,, nikasubiri wee ilipofika hyo cku akanambia eti ana mtu wake na anampenda san hawezi kumuacha.lakini eti nice na subira Pengine anaweza kunielewa..
Baada ya cku kadhaa nikakutana nae jibu likawa hilohilo..
Basi nikaridhia hakuna namna akufukuzae hakwambii toka. Kwanzia happo nikakauka c message Wala call.. lakini cku fulani fulani akawa hakosi kuntumia text GOOD NIGHT na zingine za mfanowe..
Basi mi nilikwa nikishukuru tu na kumwambia jinci gani namzimia.
Shida iko hapa, wiki ilopita alintumia text,UCKU MWEMA nikaijibu vyema ahsante kwake pia I love her..
Nikaona c vyema kumkaukia mtoto Kama yule. Nikaanza shobo ndo nikaanza shobo z's kumpigia na text,, C NDO HAPO NIKAGUNDUA AMENIBLOCK KILA MAHALI WASAP, CALL, TEXT NA KWINGINEKO.
LAKINI CHA AJABU AKITUPIA PICHA KALI WASAP ETI ANANIFUNGULIA KUTOKA BLOCK..


WADAU MNISAIDIE..HUYU DADA VIPI?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kakukubali na amekolea, ila anapokuwa na bwana wake kausha kwanza kwenye kifungo cha block si unaona akimaliza kubebika anakucheki kwani tatizo liko wapi. U-spea tairi una changamoto zake, inabidi ukae na sisi maspea tairi waandamizi tukupe uzoefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata mtu akublock mm kuna mdada nmemfuata pm humu eti ananiuliza ww nani nikamwambia huoni jina hapo akasema hana contacts zangu nikajisemea JF ndio imekuwa kama whtsap siku hizi...bora angenikaishia tu kuliku kunifanyia hivi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom