- Thread starter
- #41
Sawa !! Maspair tairi waandamizi..duuuh kumbe kweli mwanang mi Ni spair tairi.. isingekwa hivyo hat no yangu angeshafuta.Kakukubali na amekolea, ila anapokuwa na bwana wake kausha kwanza kwenye kifungo cha block si unaona akimaliza kubebika anakucheki kwani tatizo liko wapi. U-spea tairi una changamoto zake, inabidi ukae na sisi maspea tairi waandamizi tukupe uzoefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app