Chakubanga22
Member
- Nov 13, 2021
- 68
- 169
Nimepatana na binti mrembo kanieleza kwake ni Ubaruku na huko yeye ana mashamba ya mpunga. Kwenye kumwaga sera zangu nitawale jimbo, ananiambia ana HIV.
Wakuu huyu ananikataa au anakimbia mbio ndefu anataka nimkute mbele. Nina miezi miwili sasa nafukuzia goma.
Wakuu huyu ananikataa au anakimbia mbio ndefu anataka nimkute mbele. Nina miezi miwili sasa nafukuzia goma.