Amembaka,akamnyonga ,akafa

Amembaka,akamnyonga ,akafa

Mapenzi mapenzi mapenzi

Jamani mapenzi haya mapenzi, aisee
 
Mwisho wa dunia ndio maana ndege zinapotea
 
mi ndo nimeona inafaa..wakimfunga miaka 30 atakua bado anaishi
wakimnyonga,atakufa bila maumivu..wamkate kipande kimoja kimoja tu
hahahaa hiyo adhabu yako imenifanya nicheke.......

ingawa situation iliyomtokea huyo bint ni ya kusikitisha
 
so sad
muuaji adhabu inayomfaa ni kifo
auawe kwa kukatwa vipande vipande
yaani wanaanzia kukata kiganja,then mguu,kiganja,mguu,halafu wanakata paja..yaani mtuhumiwa anatakiwa afe akijiona hivi hivi..na maumivu makali ayasikie vile vile

Kibongo bongo hizo sheria hazipo hata kunyongwa sina kama inafanya kazi,labda akabidhiwe kwa wananchi wenye hasira kali wahangaike nae


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
tatizo nao watamuua haraka haraka,
Kibongo bongo hizo sheria hazipo hata kunyongwa sina kama inafanya kazi,labda akabidhiwe kwa wananchi wenye hasira kali wahangaike nae


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Halafu kuna watu wanasema sheria ya kifo iondolewe thubutu! Huyo akatwe kiungo kimoja kimoja cha mwili wake mpaka kufa! Yaan anaanza tolewa kucha mojamoja then anakatwa kidole kimoja kimoja then anakatwa viganja inafuatia miguuu........... akifa ndipo adhabu inaishia! Shenz.i kabisa
 
Wabakaji wote hata kama hajaua naomba anyongwe hadi kufa. So sad, mtoto wa 13 years!! Sasa na wale wa miaka 3 mtu unabaka? Nyonga kabisa hawa haramu.
 
Poleni sana watendwa....

Inauma sana kiukweli!

Kesi kama hizi ndugu zangu huwa haziishi....!

Watendwa lazima watalipiza kwa watendaji.... Watendaji nao watafanya hivyo...

Dhambi za hivi huwa katika mtindo wa circulation...

Visasi....
 
Pole kwa wafiwa, R.I.P mtoto. kwa Tarime huyo atauwawa siku si nyingi. Yupo wapi Kenonke?
 
Pole kwa wafiwa, R.I.P mtoto. kwa Tarime huyo atauwawa siku si nyingi. Yupo wapi Kenonke?
kinoke alishauwawa tayari...

yule wa pili nae pia alifia hospitali!

nadhani tarime kuna tatizo kubwa sana ambalo serikali inalifumbia macho.. kama watoto wa kike wanafanyiwa hivi, kanini basi wasiwe wanapewa huduma ya shule za bweni na uangalizi maalum?
 
Wakurya nawaogopa ever! jaman ni ukatil gan huu eti mmh RIP mtoto wa watu
 
Adhabu ya huyo ni kukatwa kila siku kukata kiungo kimoja mpaka vyote viishe nadhani hapo itamfanya ajute vzr.
 
Back
Top Bottom