Amelipa mahari milioni 4!

duuuh sijui niseme nini hapa maana hata ukiondoka sio kwamba atabaki tu na mimi bali ataweza ongeza ambao ni matata zaidi. hebu fikiria fikiria tena

teh teh
Hahaha
Huyo mie ananiumiza kila leo... Wakati kakufuata Arusha mie alinizimia simu kabisaaa!!!!
 
My love doesn't cost anything as long nimempenda hata kukopa bank as long as nimwoe Mke wngu
 
Hahaha
Huyo mie ananiumiza kila leo... Wakati kakufuata Arusha mie alinizimia simu kabisaaa!!!!
duuuh hapo maneno halafu hata hakufika kwangu, sijui aliishia wapi ila mpe tena nafasi huenda akabadilika.
umri nao umeongezeka mwaka mmoja aweza kuwa somebody else better than yesterday (last year)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…