wakati wengine tunaadhimisha wiki ya kunywa maziwa..........
hapo ndiyo nachoka, ikiwa watu hawawezi kumudu lita moja ya maji ya uhai ya azam ya sh 500 how in the hell can they afford a quarter a litlre of milk kwa sh 1000? still yet unasikia wapuuzi redioni na kusoma magazetini wanalaumu eti watanzania hatuna mwamko na kunywa maziwa.
Mh tutafika kweli?
hapo ndiyo nachoka, ikiwa watu hawawezi kumudu lita moja ya maji ya uhai ya azam ya sh 500 how in the hell can they afford a quarter a litlre of milk kwa sh 1000? still yet unasikia wapuuzi redioni na kusoma magazetini wanalaumu eti watanzania hatuna mwamko na kunywa maziwa.