Watu huwa wanaficha mabaya yao mkuu.Iwe fundisho kwa wengine,jitahidi kumwaga nje mpaka uhakikishe huyo mtu atakufaa maishani.Mtu hujamjua vizuri ushatia mimba ona sasa msingekuwa na mtoto kila mtu angechukua time yake.Bora kuchelewa kupata mtoto kuliko haya yanayoendelea,
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Hawafichi sema upendo unafunika mabaya yote unaona kama atabadilika kumbe unajidanganyaWatu huwa wanaficha mabaya yao mkuu.
Acha ubwege wa kumtafuta. Kata mawasiliano jumla. Tafuta mwanamke sahihi na mwenye nidhamu wa kumuoa.Sijakuelewa mkuu.hashauriki kivipi?
Ufafanuzi plz!
Ahsante hii imeendaaa!!Acha ubwege wa kumtafuta. Kata mawasiliano jumla. Tafuta mwanamke sahihi na mwenye nidhamu wa kumuoa.
Mtoto akifiki miaka mitano fungua kesi ya kumchukua kama utakuwa umejipanga kumlea. kama utakuwa hujajipanga mwache akae na mtoto wake.
Hii imeendaa mkuu.Talking from the experience, wewe huyo bado unampenda na anajua unampenda yeye na mtoto.Sasa atakutesa tu kwa kipindi mpk ujute. kikubwa fanya hivi
1. Sababu ulikua na mpango wa kwenda mkoa,hakikisha unaondoka haraka sana
2. Mradi mama yako yupo hai, mtumie mama yako kumjulia hali mjukuu wake japo ngumu mwanzoni lakini utazoea.
3.Hakikisha anajua unaishi vizuri,, yaani anza kudate pesa mfano nunua vitu expensive mtumie mama yako awe anampatia mjukuu wake, pendeza na unone be happy
4.Usije kumtafuta kabisaaaaa
5.Tafuta mwanamke OA au Tia mimba na ajue kweli umeweka.
Akiendelea kukaa bila kukutafuta,,yaani jua hakuwahi kukupenda maishani mwake.
Mambo haya ni magumu na mepesi kutegemeana na mtu, kuhusu mtoto au watoto ndiyo wanaotesa sana watu.Just take your time na utapona kisha ndipo ufanye maamuzi ambayo utayaamua ukiwa na akili na sio ukiwa na hasira.
Kwasasa naona kama bado una hasira sana, na niseme ukweli nakuona ukiwa bado haujafanya maamuzi sahihi kwasababu bado moyo wako upo kwa hiyo saa mbovu (hapa naona kutaka kuongea na mtoto ni kisingizio tu aiseeee)
Ila mtoto anauma mkuu..Just take your time na utapona kisha ndipo ufanye maamuzi ambayo utayaamua ukiwa na akili na sio ukiwa na hasira.
Kwasasa naona kama bado una hasira sana, na niseme ukweli nakuona ukiwa bado haujafanya maamuzi sahihi kwasababu bado moyo wako upo kwa hiyo saa mbovu (hapa naona kutaka kuongea na mtoto ni kisingizio tu aiseeee)
Kuna wakati tunapaswa tuwe na mioyo migumu ili tuweze kuvuka kutoka sehem moja kwenda nyingine ili tuweze kushinda majaribuIla mtoto anauma mkuu..
Mazoea mabaya
Huyo chenga anapenda umnyenyekee na huo sio uanaumeImefika hii mkuu.
Ujuwe na mimi nimejiuliza kwa nini akatae za kwake na akubali kupokea za wengine na akisikia sauti ya jamaa hata hakati simu anampa mtoto.
Nimecheka sanaaaAmekwambia uende kwake, mtego huo, kuna styles mpya zimetoka, "maridhiano ya bandari" na nyingine "ujenzi wa bandari ya Bagamoyo" hiyo ya pili ni kiboko lazima usalimu amri na urudishe majeshi upyaaaa.