figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
pole.mia
Nipo kwangu naangalia tv mara simu kutoka kwa rafiki yangu kuhusu mkasa uliomkuta nusu saa nyuma akiomba ushauri kwangu..... Kuna g.f alifika kwake kutokea MZA siku ya 4 sasa lakini akiwa ndani amejilaza baada ya kutoka kazini g.f wake akawa ametoka kwenda bafuni kuoga ile anarudi kutoka bafuni akasikia mlango wa chumba cha mpangaji jirani ukifunguliwa akaamua kuchungulia kuna nini cz g.f wake alimsikia akiingia ila akaona anakawia kuingia chumbani.. so ile kuchungulia mlangoni akaona akiwa amekumbatiana na yule mpangaji mwenzake mlangoni huku akiwa na kanga tu kama alivyotoka bafuni kiukweli alichanganyikiwa na akatoka walivyomwona wakavunga kama kuna kitu kimemwingia jichoni eti jamaa anamtolea... hapa rafiki yangu hata nauli ya kurudi MZA anasita kumpa ambwage ila still hajafanya maamuzi so naomba sana tumsaidie kimawazo tu
Kwa vyovyote Mwanza watu walikuwa wanajisevia. Kisichokuwepo machoni ........, mwingine amalizie plizSasa kama anakumbatiwa kwenye himaya ya huyo bf wake, huko mwanza asikoonekana alikuwa anafanywaje???!! Huff!
Bado hujamuondoa tu???? Unangoja hadi umkute kitandani??? Timua huyo fastaaaaaaa
Kunguru hafugiki,atimulie mbali.Anasema hakuna kitu kilichokuwa kikiendelea na amesimamia huo msimamo
Na asipompa Nauli,Hile Njemba la jiran litaendelea kukamua mwanzo mwisho huku Jamaa akiwa anatunza ndani,na akimpa Nauli asijeshangaa after 2 days Demu karudi kwa Njemba,, Namshauri jamaa ahamie mtaa wa 7Ampe nauli ili aondoke alaf ndo hivyo tena, km hatampa naul ataendelea kuuweka hapo kwake na kumfanya mshkaj kupata presha bure.
kukumbatiwa tu umfukuze?
Sasa kama anakumbatiwa kwenye himaya ya huyo bf wake, huko mwanza asikoonekana alikuwa anafanywaje???!! Huff!