Amekumbatiwa imekuwa kizazaaaa

Kama kwei alimuona kamkumbatia basi huyo si mke!siku nne tu ashajuana na mtu na tayari ashakumbatiwa na yupo kwa bf wake na bf wake yupo ndani kalala??si mke huyu! Mwambie ampe nauli aondoke na simwambie sasa hivi sema akifika kule mza ndo amwambie!
 
So kusema jirani anamega mzigo wakati jamaayupo katika kutafuta ridhiki kwa kitaa. So sad
 
Nipo kwangu naangalia tv mara simu kutoka kwa rafiki yangu kuhusu mkasa uliomkuta nusu saa nyuma akiomba ushauri kwangu..... Kuna g.f alifika kwake kutokea MZA siku ya 4 sasa lakini akiwa ndani amejilaza baada ya kutoka kazini g.f wake akawa ametoka kwenda bafuni kuoga ile anarudi kutoka bafuni akasikia mlango wa chumba cha mpangaji jirani ukifunguliwa akaamua kuchungulia kuna nini cz g.f wake alimsikia akiingia ila akaona anakawia kuingia chumbani.. so ile kuchungulia mlangoni akaona akiwa amekumbatiana na yule mpangaji mwenzake mlangoni huku akiwa na kanga tu kama alivyotoka bafuni kiukweli alichanganyikiwa na akatoka walivyomwona wakavunga kama kuna kitu kimemwingia jichoni eti jamaa anamtolea... hapa rafiki yangu hata nauli ya kurudi MZA anasita kumpa ambwage ila still hajafanya maamuzi so naomba sana tumsaidie kimawazo tu

Hahaaha.. na kanga moja! ampige chini kwa kweli.
 
Ampe nauli ili aondoke alaf ndo hivyo tena, km hatampa naul ataendelea kuuweka hapo kwake na kumfanya mshkaj kupata presha bure.
Na asipompa Nauli,Hile Njemba la jiran litaendelea kukamua mwanzo mwisho huku Jamaa akiwa anatunza ndani,na akimpa Nauli asijeshangaa after 2 days Demu karudi kwa Njemba,, Namshauri jamaa ahamie mtaa wa 7
 
Kanga moja ndembendembe! Hapo hamna kitu na akiowa basi ajue amewaolea watu
 
Kwa siku 4 tuu..gf ameweza kuwa na uhusiano wa karibu kiasi hicho?....hebu afanye uchunguzi wa kina...huenda hako kamchezo wameanza siku nyingi....amrudishe kwao fasta MZA. then akiwa huko amtaarifu uamuzi wake kwa kile alichokiona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom