sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 649
Jamaaa alikatika mkono 1,baada ya kuona maisha magumu,akapanda ghorofani ili ajitupe chini.Kabla ajajitupa chini akamwona mtu hana mikono yote akiruka ruka kwa furaha,akamwuliza ,"Vipi mbona unaruka kwa furaha wakati huna mikono yote"?Jamaa akamjibu ,furaha wapi ndugu yangu,Hapa mat*k* yanawasha nashindwa kujikuna.