Mlupembe
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 446
- 216
habari wana jamii naomba ushauri yumsaidie vipi huyu Mwl Wa kike .ameajiriwa tangu mwaka 2011 sekondari ni mwalimu Wa maths na physics aliomba nafasi ya kwenda kusoma akachaguliwa kujiunga na chuo st john sasa amefuatilia ruhusa Mkuu wake kakoment asiruhusiwe maana shule haina Mwl Wa physics , kaenda kwa afisa elimu nako kanyimwa eti akitaka aache Kazi , sasa ushauri afanyaje aweze kusaidiwa au kuna sheria zipi zinaweza kumfanya awashitaki hawa wakuu wake.