Amejichora alama za X mapajani

Ukionyeshwa picha kwenye albamu ya familia halafu ukakutana na moja imewekewa X maana yake nini? Usitupotezee muda hapa.
 
Nakumbuka darasa la kwanza:
X= Umekosea, ulichofanya siyo sahihi na hakistahili kufanyika; umefanya ujinga; umefanya hovyo; tafakari upya ulichokifanya; acha kufanya hivyo!!!
 
Maana yake kila atayepita katikat ya mapaja yake lazima afe
 
South wana utaratibu wa kumuwekea hyo alama mtu mwenye ngoma. Huyo dada aliwahi kuishi south
 
Itakua yule mgombea mwenye tabia ya kuweka X anataka abomolewe huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…