kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,180
- 1,599
Wanajamvi hamjambo?
Huyu mchumba wangu ambaye ni mjamzito mpaka sasa aliniomba anichore begani kwake ila nikakataa
Kwa hasira nafikiri za mimba changa, amechora ua hilo hapo begani. Anapenda tattoos sana na hili haliwezi sababisha iniletee shida kwenye kubadili dini? Na hajali maneno yeye anaangalia amani ya moyo wake.
Nimesikia tattoos hazikubaliki kidini wala kwenye mazingira ya mtaani hasa kwa jamii iliyostaarabika. Naanza vipi kumuambia shida tutakayoipata wakimuona ma ustaadh kwenye hali hiyo? Na ujauzito je hauwezi pata changamoto kutokana na tattoo?
Huyu mchumba wangu ambaye ni mjamzito mpaka sasa aliniomba anichore begani kwake ila nikakataa
Kwa hasira nafikiri za mimba changa, amechora ua hilo hapo begani. Anapenda tattoos sana na hili haliwezi sababisha iniletee shida kwenye kubadili dini? Na hajali maneno yeye anaangalia amani ya moyo wake.
Nimesikia tattoos hazikubaliki kidini wala kwenye mazingira ya mtaani hasa kwa jamii iliyostaarabika. Naanza vipi kumuambia shida tutakayoipata wakimuona ma ustaadh kwenye hali hiyo? Na ujauzito je hauwezi pata changamoto kutokana na tattoo?
