Amebadilika baada ya kumpa penzi

Amebadilika baada ya kumpa penzi

Msidhani huku mtaani sisi hatuishi na wanaume wenzenu na hatuwajui vizuri tunawajua sana na ni wanaume wengi tu marijali hapa duniani ila hawachepuki hivyo mnaochepuka mnajiendekeza kwa sababu hata msipochepuka hamuumwi wala hamfi ila basi tu umalaya unawasumbua
skiza Grande, ukiona sio mgongaji, jua ni shoga au senior member wa chaputa au hana dushe
 
kwavyovyote vile najua utaachana nae maana dalili tayari, nnachokushauri mimi fatilia kwanini amekupotezea ivyo kwa haraka, labda kuna mahali ulikosea wakati wa sex, either show mbovu ama arufu, kama hakuna tatizo basi move on.
 
kaacha manyoya aisee pole sana. Ni maisha wanayopitia wengi, chukulia kawaida
 
huo ndio ukweli ,
Ndivyo mnavyowadanganya baadhi ya wanawake ili wawaache mchepuke kwa amani eti nao wanaamini uongo wenu basi muwaoe hao hao wanaokubali kudanganyika ili hata wakiwafumania wao ndiyo waombe msamaha
 
Sasa unanilazimisha niamini uongo wako au??
Yaani wewe mwanamke unajidai unawajua wanaume wote nje ndani.
Unajidanganya sana bibie, hasa linapokuja swala la feeling za kimapenzi.
Hizi feeling za kimapenzi ni ngumu kueleweka na mtu mwingine na inakuwa ngumu zaidi mtu wa jinsia fulani kuelewa za jinsia tofauti na yake. Ni kama vile mwanaume atake kujua mwanamke anavyoingiziwa dushe anajisikiaje zaidi atabaki kuhisi hisi labda inakuwa hivi lakini uhalisia halisi anaujua mwanamke tu.
Hata ukiwa na mabwana 7 uwezi uka conclude eti unawafahamu wanaume
 
Sasa nani hapa kaongelea maswala ya kujua kuwa wanaume au wanawake wanajisikiaje wakifanya tendo la ndoa? Mimi nimeongelea tabia za wanaume wengi kitu ambacho kinaonekana na tabia ni kama ngozi haijifichi!

Kwahiyo ninaongelea mambo ninayoyaona kila siku kwa wanaume wengi kwenye jamii hayo mengine mimi sijayaongelea! Na hata hivyo kati ya yote niliyoyaongea kuhusu wanaume wengi kwani kuna ya uongo?
Yaani wewe mwanamke unajidai unawajua wanaume wote nje ndani.
Unajidanganya sana bibie, hasa linapokuja swala la feeling za kimapenzi.
Hizi feeling za kimapenzi ni ngumu kueleweka na mtu mwingine na inakuwa ngumu zaidi mtu wa jinsia fulani kuelewa za jinsia tofauti na yake. Ni kama vile mwanaume atake kujua mwanamke anavyoingiziwa dushe anajisikiaje zaidi atabaki kuhisi hisi labda inakuwa hivi lakini uhalisia halisi anaujua mwanamke tu.
Hata ukiwa na mabwana 7 uwezi uka conclude eti unawafahamu wanaume
 
Haya radicals kwa kauli kama hizi mnataka tusemaje kuhusu wanaume??

Ninalotaka kusema ni kuwa ukitaka kuheshimiwa, basi jiheshimu na husiwe daladala ambalo mlango wake unafunguliwa kila abiria anayetaka kuingia.
Kufuli ni muhimu kwa heshima yenu.
 
Apewe tena
Mimi ni binti nina miaka 24, nilikuwa na mahusiano ya kirafiki na kaka mmoja ambaye ni mfanyakazi wa benki moja hivi, baadaye tukawa wapenzi, akaniuliza kama nampenda kwa dhati au nina mtu mwingine, nilimjibu kuwa sina mtu mwingine zaidi yake.

Siku zikapita, kuna siku moja alinipigia simu majira ya saa moja usiku na kuomba nikaonane naye, sikuwa na wasiwasi nilifunga safari hadi nyumbani kwake.

Tuliendelea na mazungumzo ya kawaida ikafika sehemu akaniambia kuwa ana hamu ya kufanya mapenzi na mimi, kwa kuwa nilimpenda sikukataa, nikamkubalia tukaingia kwenye uwanja wa masumbwi.

Lakini tangu siku hiyo nilipompa penzi langu mara moja akawa haeleweki, kila nikimtafuta anasema yuko bize hata kama nikimwambia nina hamu ya kukutana naye faragha anasema kuwa nisubiri kwanza yeye yuko bize akipata nafasi atanitafuta.

Naombeni ushauri nifanyeje
 
Back
Top Bottom