Mkuu una muumiza kisaikolojia vibaya sana huyu mtoto mrembo AGNESS LOYDE .Siku hizi mademu mna mashimo sana yaani balaa tupu,kuna mmoja hata mm nilipiga Mara moja tu maana demu ana bonge la shimo hakuna radha kabisa..
Kama ni uwanja wa Masumbwi.. Basi ndo umepigwa TKOMimi ni binti nina miaka 24, nilikuwa na mahusiano ya kirafiki na kaka mmoja ambaye ni mfanyakazi wa benki moja hivi, baadaye tukawa wapenzi, akaniuliza kama nampenda kwa dhati au nina mtu mwingine, nilimjibu kuwa sina mtu mwingine zaidi yake.
Siku zikapita, kuna siku moja alinipigia simu majira ya saa moja usiku na kuomba nikaonane naye, sikuwa na wasiwasi nilifunga safari hadi nyumbani kwake.
Tuliendelea na mazungumzo ya kawaida ikafika sehemu akaniambia kuwa ana hamu ya kufanya mapenzi na mimi, kwa kuwa nilimpenda sikukataa, nikamkubalia tukaingia kwenye uwanja wa masumbwi.
Lakini tangu siku hiyo nilipompa penzi langu mara moja akawa haeleweki, kila nikimtafuta anasema yuko bize hata kama nikimwambia nina hamu ya kukutana naye faragha anasema kuwa nisubiri kwanza yeye yuko bize akipata nafasi atanitafuta.
Naombeni ushauri nifanyeje
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama ni uwanja wa Masumbwi.. Basi ndo umepigwa TKO
Sihitaji kuwa mwanaume ila ukweli ni kwamba wanaume wengi mnajiendekeza!!kua mwanaume uyaone
kuna mawili,game lako sio alilotarajia au alikuwa anataka apige show tu na wewe then asepe ana mtu wake.Mimi ni binti nina miaka 24, nilikuwa na mahusiano ya kirafiki na kaka mmoja ambaye ni mfanyakazi wa benki moja hivi, baadaye tukawa wapenzi, akaniuliza kama nampenda kwa dhati au nina mtu mwingine, nilimjibu kuwa sina mtu mwingine zaidi yake.
Siku zikapita, kuna siku moja alinipigia simu majira ya saa moja usiku na kuomba nikaonane naye, sikuwa na wasiwasi nilifunga safari hadi nyumbani kwake.
Tuliendelea na mazungumzo ya kawaida ikafika sehemu akaniambia kuwa ana hamu ya kufanya mapenzi na mimi, kwa kuwa nilimpenda sikukataa, nikamkubalia tukaingia kwenye uwanja wa masumbwi.
Lakini tangu siku hiyo nilipompa penzi langu mara moja akawa haeleweki, kila nikimtafuta anasema yuko bize hata kama nikimwambia nina hamu ya kukutana naye faragha anasema kuwa nisubiri kwanza yeye yuko bize akipata nafasi atanitafuta.
Naombeni ushauri nifanyeje
Jifariji tu me ni muelewa sio mbishiHilo la wewe kuwa mbishi kuliko mimi siyo swali bali ndiyo jibu!!
No comment loveOohh so even if women 'just do what they get to do' there is no problem is it?
100% very true miss_blossom. Lakini wakati mwingine tatizo linazidi uwezo wa mtu husika kulibeba na kupelekea kuwa kama kachanganyikiwa. Kwa wenzetu wanaotambua hili ma-psychologists ni wengi kama ilivyo kwa madaktari wa magonjwa mengine ya binadamu. Hii ni ili kuwasaidia watu ambao kwa namna moja au nyingine baada ya kupata matatizo ya kimaisha maji uelekea kuzidi unga. Huku kwetu ni tofauti hatuthamini sana uhai wa wenzetu ndiyo maana tukipatwa na shida waliotuzunguka wanakuwa kama wanalikuza hilo tatizo, watakucheka na kukubeza as if wewe ndiyo wa kwanza kupatwa hapa duniani. Hii imezoeleka huku kwetu maana ngozi nyeusi wengi ufurahia watu wengine wanapopatwa na tatizo. Hii upelekea watu kukaa na shida zao bila kumshirikisha mtu yeyote na mambo yanapowazidia either ujinyonga, au kuwa na tabia atarishi kama uzinzi na ulevi wa kupindukia mwisho uharibikiwa au kuweuka kabisa.Hakuna kitu chenye manufaa na tulizo la moyo kama kuwa calm ikitokea tatizo kwenye maisha yako. Inakupa muda wa kuichunguza tatizo na kuichunguza wewe binafsi kujua umekosea wapi na kurekebisha
ungekua mwanaume kwa siku 2 (ambae sie hanisi) wallah ungekuja na kufuta unachokiandikaSihitaji kuwa mwanaume ila ukweli ni kwamba wanaume wengi mnajiendekeza!!
Unafikiri ni kwa nini Adam alikatazwa na Mungu lakini bado alimtafuna Hawa kama siyo asili ya tamaa ya mwanaume.Aliyemuumba mwanaume kutamani ni nani huyo? Maana hakuna sehemu inayoonyesha kuwa Mungu alimuumba mwanaume kutamani!
I second you here. Maumbile yanaathiri matendo. Nature affects nature. Hii ya kudhalau nguvu ya kimaumbile ya mwanaume haitofautiani sana na ile ya baadhi ya wanaume wanaodhalau na kubeza baadhi ya tabia mimba za wanawake wajawazito.ungekua mwanaume kwa siku 2 (ambae sie hanisi) wallah ungekuja na kufuta unachokiandika
π π π πUmewahi kuona viongozi wanaendelea na kampeni baada ya kuchaguliwa??
Tangu lini mvuvi akampa chambo samaki aliyemvua tayari. Hata wewe ungeweza?
HahahaKwahiyo avatar yako unaonekana wewe ni chibongee...
Vibonge wengi huko chini hapako sawaa....
Full perfume!
Hukumfinyia kwa ndani ndio shida ilipoanzia.
Hayo maeneo yanapokua tofauti na age yako AUTOMATICALY lazma jamaa Atii amri "nyumaaaaaa GEUKAAAA" shap shap shap....harudi ng'ooo.
wadada jitunzeni.
OTHERWISE tutachovya sana ila mboga yenu tutawaachia hapo hapo.
Asante kwa Kutuwakilisha Vyema Mzee babaView attachment 1190685
Mtoa Mada na wanawake wenzako mnaskia wanaume tunaitana mabaharia kiufupi nadhan hamuwajui mabaharia huyu sasa uliekutana nae ndo Baharia
Hakika ametuwakilisha vyema