Amebadilika baada ya kumpa penzi

Unaonekana we fundi wa kufinyia sio kwa maelezo hayo
😎😎
si ushasikia kwa Diamond,ifinyie kwa ndani??basi ana maana ukiona maumbile yako ni makubwa wakati wa ku do unabana na kuachia kibibi kama wanavyofanya kwenye kegel exercise (Google)...lol...
 
eat and run inaitwa

nipe namba yako uje kansan kwangu nikuombee utoe nuksi..
 
Binafsi mimi ukinikubali siwezi kukuona fala, sema muendelezo wa mahusiano yetu ndio utanionesha kuwa wewe ni fara au sio fara!
Kama tukiwakubali mnatuona mafala kwanini mtuombe??
 
Sidhani kama jamaa amempotezea sababu harufu sijui shoo mbovu sijui mauno...huyo jamaa ni dizaini ya wale play boy wale hit and run. Dada we kubali tu kuwa jamaa alihitaji akugonge tu sio alitaka ajiweke kwako. Tupo wengi tu dizaini hiyo haturudii game kwa mtu uliyekwishapitaga na huna mipango nae.
 
Utaonyesha kuwa mwanamke tu ndiyo fara au yaweza kuwa hata mwanaume pia??
Binafsi mimi ukinikubali siwezi kukuona fala, sema muendelezo wa mahusiano yetu ndio utanionesha kuwa wewe ni fara au sio fara!
 
Kapime kwanza HIV ndio mjadala uendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…