Ambulence hatuna ila magari ya bei mbaya ya polisi tunayo!

Ambulence hatuna ila magari ya bei mbaya ya polisi tunayo!

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,426
Nimeona polisi wa Uganda na wanajeshi wanavyotesa wapinzani. Wana magari ya bei mbaya na mitulinga usipime. Nimekumbuka hapa kwetu. Pesa ya kuwanunulia magari polisi wa kupiga na kuua waandamanaji inapatikana ila siyo ya kununulia ambulansi, vitabu mashuleni, kuleta maji nk.
 
Nimeona polisi wa Uganda na wanajeshi wanavyotesa wapinzani. Wana magari ya bei mbaya na mitulinga usipime. Nimekumbuka hapa kwetu. Pesa ya kuwanunulia magari polisi wa kupiga na kuua waandamanaji inapatikana ila siyo ya kununulia ambulansi, vitabu mashuleni, kuleta maji nk.
ULINZI NI MUHIMU SANA KULIKO AFYA YAKO, AFYA UTAKULA HATA MIZIZI PORI UTAPONA
 
Mwafrika angeendelea tu kutawaliwa na mkoloni, Southern Africa walichelewa kupata uhuru, wakajenga systems, rule of law, real democracy, economy, leo wako juu, quality of life iko juu, na dunia inawaheshimu, sisi wa uhuru wa 1960s ni failed states, viongozi wajinga, corruption nonstop, uhuru wa bendera, lakini akili na institutions zero, ushahidi vijana wanajilipua south kutafuta maisha
 
You cannot be serious mwanangu vinginevyo kuna kitu kimechomoka kichwani.
Hakika hivi waafrica tunavyopenda vurugu usipojizatiti ni shida Ona marekani maanadamano majimbo sita hawavunji hata chupa , ubelgiji walifanya maandamano wakamwaga viazi tu kwenye majengo lakini hawakuiba kitu bongo sasa maanadamano siku 3 tu lakini wizi wa ajabu bila risasi za kutosha ni shidaaa
 
Kwani hujawahi kuwaona watawala wa Kiafrika wakizunguka kwenye misafara uenye magari 200 ya kifahari, na ulinzi wa kutisha! Halafu wakienda Ulaya, wanapakizwa kwenye Coaster moja!
We acha tu. Aibu. Ulimbukeni ulafi, ubinafsi na uzwazwa sina mfano ukiachia mbali roho mbaya na ushamba. Tena wanajaza ndugu na mahawara zao hadi kwenye misafara ukiachia kwenye maofisi hata baraza la mawaziri. Ndiiyo maana unaona sura za kutia shaka kama akina bashiti unashangaa huu uhawara wa nini kwetu.
 
Nimeona polisi wa Uganda na wanajeshi wanavyotesa wapinzani. Wana magari ya bei mbaya na mitulinga usipime. Nimekumbuka hapa kwetu. Pesa ya kuwanunulia magari polisi wa kupiga na kuua waandamanaji inapatikana ila siyo ya kununulia ambulansi, vitabu mashuleni, kuleta maji nk.
Sisi tuna uranium
 
Mkuu, licha ya kuwa na akili mengi, kwa nini unajizima data na kuchagua upumbavu kuwa sehemu yako?
ahaaa mimi lile tukio la 29 mpaka 31 bado nina kinyongo mno na wahuni , walitutesa sana hakuna kulala siku tatu usiku na mchana ,
 
Nimeona polisi wa Uganda na wanajeshi wanavyotesa wapinzani. Wana magari ya bei mbaya na mitulinga usipime. Nimekumbuka hapa kwetu. Pesa ya kuwanunulia magari polisi wa kupiga na kuua waandamanaji inapatikana ila siyo ya kununulia ambulansi, vitabu mashuleni, kuleta maji nk.
Mwenye ambulance hatumii bunduki, anatumia hizo ambulance kuokoa maisha ya watu wake. Na mwenye bunduki hatumii ambulance, anatumia hizo bunduki kuokoa utawala wake.

Kupanga ni kuchagua.
 
Nimeona polisi wa Uganda na wanajeshi wanavyotesa wapinzani. Wana magari ya bei mbaya na mitulinga usipime. Nimekumbuka hapa kwetu. Pesa ya kuwanunulia magari polisi wa kupiga na kuua waandamanaji inapatikana ila siyo ya kununulia ambulansi, vitabu mashuleni, kuleta maji nk.
Hivi kweli hii nchi tumelaaniwa au ni kitu gani kimewakumba hawa viongozi
 
Back
Top Bottom