Ambulance yenye mgonjwa ikisimamishwa na askari ili kupisha msafara wa kiongozi

Ambulance yenye mgonjwa ikisimamishwa na askari ili kupisha msafara wa kiongozi

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Video ya mdau imeonyesha ambulance yenye mgonjwa ikisimamishwa na askari ili kupisha msafara wa kiongozi.

Serikali inayohubiri “kazi na utu” leo imejionyesha wazi haina utu wala huruma kwa wagonjwa na jamii. Kiongozi anapewa kipaumbele kuliko maisha ya raia anayepigania pumzi yake — huu ni ushahidi wa udhaifu mkubwa wa uongozi.
 
Video ya mdau imeonyesha ambulance yenye mgonjwa ikisimamishwa na askari ili kupisha msafara wa kiongozi.

Serikali inayohubiri “kazi na utu” leo imejionyesha wazi haina utu wala huruma kwa wagonjwa na jamii. Kiongozi anapewa kipaumbele kuliko maisha ya raia anayepigania pumzi yake — huu ni ushahidi wa udhaifu mkubwa wa uongozi.
Hio Ambulance ilikuwa main road ikawekwa pembeni au imetoka njia mchepuko?
 
kama ni kweli basi Askari aliyeisimamisha ndo hana akili
 
Hivi video fupi fupi wakati mwingine zinaweza kutupa mtazamo usio sahihi.

Inawezekana wakati ambulance inafika, ingekuwa ni hatari zaidi kuiruhusu kuliko kusubiri!
 
Video ya mdau imeonyesha ambulance yenye mgonjwa ikisimamishwa na askari ili kupisha msafara wa kiongozi.

Serikali inayohubiri “kazi na utu” leo imejionyesha wazi haina utu wala huruma kwa wagonjwa na jamii. Kiongozi anapewa kipaumbele kuliko maisha ya raia anayepigania pumzi yake — huu ni ushahidi wa udhaifu mkubwa wa uongozi.
Inakera sana viongozi wakiwa wanapita halafu uzuiliwe ukiwa unaenda kwenye shughuli zako.

Na kwa hii speed za hao viongozi hata mgonjwa si bure angemshukuru huyo askari maana ambulace ingeweka hata pua apo lolote likatokea ingegeuka kutoka kuwa safari ya mgonjwa kuwa ya maiti.
 
Atakua naibu waziri uyo , jamaa ana penda sana kukatiza mitaa kama boya ivi
 
Video ya mdau imeonyesha ambulance yenye mgonjwa ikisimamishwa na askari ili kupisha msafara wa kiongozi.

Serikali inayohubiri “kazi na utu” leo imejionyesha wazi haina utu wala huruma kwa wagonjwa na jamii. Kiongozi anapewa kipaumbele kuliko maisha ya raia anayepigania pumzi yake — huu ni ushahidi wa udhaifu mkubwa wa uongozi.
Utu manake utumbo wewe ulielewa vibaya
 
Back
Top Bottom