Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,009
- 103,398
Mpuuzi Yeriko Nyerere bado anaendelea kumwaga mropaganda zake za kipuuzi
Hii kitu ameleta Yeriko ndio yenyewe. kila siku tumekuwa tukipiga kelele jeshi la polisi kutumika na ccm kuleta propaganda na kuacha weledi wa kazi yao. Leo hii unatarajia watu wawaamini tena na kuwapa ushirikiano kwa jambo kama hili.Siku zote wamekuwa wakiwahusisha wapinzani na ugaidi wa kutungwa kwa kushirikiana na viongozi wachovu wa ccm leo hii ama kuna ugaidi kweli ama uongo kama kawaida yenu nani atawaamini? Kwa hapa tulipofikia jeshi la polisi litegemee ushirikiano toka kwa chama cha ccm kwani limeacha kazi yake ya kulinda raia wa nchi hii bali kulinda maslahi ya ccm. Hili litakuwa fundisho na wangalau litalifanya jeshi la polisi kutekeleza wajibu wake na sio kusubiri amri toka chama cha mapinduzi jinsi ya kutekeleza wajibu.