peace.peace14
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 214
- 36
Nawashauri tuombe sana kwa amani ya taifa hili.Haijalishi hii ni sinema au kweli ni magaidi. Hizi clip ukiziangalia hazitoi picha nzuri kwa taifa.
Huwezi jua vijana wa ngapi wamekuwa influenced already.
Askari wanapopoteza maisha kweli bado tunasema ni sinema hii?
Yamkini humu tuna magaidi wanaotaka tuamini kwamba mambo yako shwari.
Boko Haram walianza hivi hivi.Tusipochukua hatua sasa ns kuunga mkono operation hii tutazama wote.
Usilolijua ni kama usiku wa giza!
Huwezi jua vijana wa ngapi wamekuwa influenced already.
Askari wanapopoteza maisha kweli bado tunasema ni sinema hii?
Yamkini humu tuna magaidi wanaotaka tuamini kwamba mambo yako shwari.
Boko Haram walianza hivi hivi.Tusipochukua hatua sasa ns kuunga mkono operation hii tutazama wote.
Usilolijua ni kama usiku wa giza!